Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Njombe amewafanyia nn huyu mtu Hadi mmpe kura zenu ili akuumizeni Tena.
Amewakomoa wafanyabiashara wa miti Hadi mbao hazilipi Tena, amewavuruga wakenya walijaa vijijini wakinunua viazi kwa bei nzuri Sana njombe ikabadilika msauzi kila sehemu.
 
Dr visasi ni muoga na mweupe Sana kwenye reasoning hawezi simama yeye binafsi Ni lzm akamilishwe na polisi. Dhaifu Sana amejifichia kwenye ukali na maagizo ili kuficha kutojiamini kwake, Ni mzuri kwenye claiming na sio reasoning Kama walivyo madikteta wote.
 
Dalili za ccm lzm Ife Ni hizi.
1.Kifo Cha Mkapa
2.kutokimbizwa kwa mwenge
3.kila ikifika miaka 40 Ni lzm mabadiliko yeyeto yatokee ktk safar ya maisha au vyama duniani.
 
Magu anajua hali yaje ilivyo mbaya Nyanda za Juu Kusini kutokana na yafuatayo:

1) Hakuna mradi wowote mkubwa uliotekelezwa katika awamu hii kwenye kanda hii

2) Kanda hii ni kanda yenye wastani wa kipato kizuri ukilinganisha na kanda nyingine. Taarifa ya Takwimu, kwa mwakajana Njombe ilikuwa ya 3 kitaifa baada ya Dar na Kilimanjaro. Lakini utawala wake umefukarisha watu kwa kupiga marufuku uuzaji wa mahindi nje, kuharibu uhusiano na Kenya ambao ni wanunuzi wakuu wa mbao na parachichi. Leo mbao zimejaa barabarani, hakuna hata walinzi maana mtu hata akiiba hana kwa kupeleka. Kwenye mahindi aliwahi kusababisha bei ya gunia la mahindi kushuka mpaka sh 9,000, na bado ikawa shida kumpata mnunuzi

3) Licha ya Kanda hii, vipindi vingine vya nyuma kutoa viongozi wengi mahiri wasiopenda na ubaguzi wa aina yoyote (japo Wanyakyusa huwa wanatajwa kuwa na upendeleo wa kikabila), awamu hii imetengwa sana katika teuzi. Mawaziri pekee ni Lukuvi na Mwakyembe, sina uhakika kama kuna mwingine

4) Maneno ya Magu akiwa Geita kuwa wasukuma wamchague yeye kwa sababu ni msukuma mwenzao na anatoka sehemu yao, wengi yamewakasirisha, hata wanaCCM. Na wanaCCM wengi hawatampa kura.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atueleze Ben,azory wako wapi, nani alimuuwa mawazo nani alimpiga risasi lissu?, mauaji ya kibiti vp wahusika walikuwa wakina nani, kwanini waliomuua akwilin wapo uraini?,na tuwajua n.k halafu ndio apige magoti asubiri kusamehewa au la tofauti na hivyo Mimi binafsi sitosamehe👹👹👹
 
Mwenyekiti Tundu Lissu babaaa, zidisha mapambano nchini Tanzaniaaa! nimekumbuka ule wimbo wa urafiki jazz band wa "Mwenyekiti mwalimu nyerere babaaa imarisha mapambano kusini mwa Africa! hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
nimtizama video kumbe kusapoti watu ndio umechukulia kupiga magoti
 
Vetting ingefanyika vizuri tusingekuwa na dereva kanjanja Kama huyu viatu vinapwaya sana
 
Back
Top Bottom