hawa wanashangilia msanii wakati anaimba jukwaani, hakuna maajabu hapo...ingekuwa hivyo hata kwa Hashimu Rungwe ikiwa naye angeambatana na hilo kundi la wasanii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa wanashangilia msanii wakati anaimba jukwaani, hakuna maajabu hapo...ingekuwa hivyo hata kwa Hashimu Rungwe ikiwa naye angeambatana na hilo kundi la wasanii.
Yaani mimi nakatamani siku moja nije nikamiminie makonde kakiwa jukwaani! Kajinga sana!Eeeh! Hako ka polepole ni kwereeeee unafiki tu umekajaa.
Mtu aliyeua hata akiburuzika Kwa tumbo au akapiga magogi Kwa ulimi Hana tofauti na LuciferAcha ujuha kupiga magoti ni ishara ya unyenyekevu na uzalendo
Dkt. Magufuli ni mnyenyekevu mbele ya watanzania,anatuheshimu na anatupenda.
Hatishwi na siasa zenu zisizo na nidhamu
Kabla ya kusema haya jitafakari hali ya uchumi ilikiwaje na sasa ipo vipi the argue na nafsi yako juu ya fursa zilizopatikana juu ya uwepo wa miradi hiyo ukimaliza subiri tarehe 28 ukapige kura kwa CcmKwenye zile ndege na bwawa la umeme umetupiga pesa pia ni project za kilofa sana(White elephant project). Yaani emeachana na gesi anaingiza pesa zetu kwenye bwawa ambalo linategemea mvua,na mchanga ukojaa na mvua ikikosekana uzalishaji wa umeme unapungua.
Angalia mabwawa yote ya umeme uzalishaji wake haufikii nusu ya uwezo wake wakati yanajengwa. Biashara ya ndege ndiyo kaivamia tu,sema project zote zinaufisadi mkubwa maana kuna siri kubwa sana.
SGR ni project ya maana sema utekelezaji wake umekuwa wa kishamba sana.
Hilo 'Bango' linachekesha kweli!Hapo leo ndio kalitendea haki bango lake lililoandikwa MNYENYEKEVU japo kinafiki.
Kuna njia nyingi za kufikisha ujumbe wa audience sijaona hasa kilichowakera hapoHata Nyerere hajawahi kupiga magoti sababu ni haki yake ya kikatiba kuchaguliwa au kutochaguliwa sasa magoti anapiga ya nini anataka ahurumiwe kwasababu alipuuza maisha ya wananchi asubiri tarehe 28/10
Hahah... Jitulize kijana utakuja pata panic attack na hao unaowapapatikia wakakutelekeza kama wengineNjoo na ID yako og mbona unajificha kwa ID mpya kama mwali mrembo? Au unaogopa bwana wako atakushtukia?
View attachment 1584968
HahahahHuku napo wanasugua na kuosha masufuria View attachment 1584552
Ulitaka yasipite?Kofia za wakubwa huzioni,
Kama ni kusomba watu Yale magari ya matangazo ya chadema yanapita mtaani kufanya nini?View attachment 1584649View attachment 1584650
Bila ya hizo picha ingekuwa vigumu kuamini kwamba kweli Magoti yalipigwa kuomba kura. " I beg you on my knees to please vote me for the next term".Tunahadaa Ulimwengu kuwa tunategemea kura za wananchi kushinda uchaguzi.
Anyway, hili niliwahi litabiri kupitia hapa JF:
Tungekuwa na Tume Huru, kuna mtu angekuwa anapiga magoti majukwaani hivi sasa
Alitoka speed kali kumuunga mkono bwana wakePolepole yuko wapi hadi bwana ake anapigishwa magoti hadharani ?
Mbona wewe umetelekezwa? Nani kakuuliza? Na kwa nini unateseka sana?Hahah... Jitulize kijana utakuja pata panic attack na hao unaowapapatikia wakakutelekeza kama wengine
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
😁😁😁😁,2015 zilikuwa push up!Hatukuona Magoti huko Njombe!Iweje leo??wafuasi wa amustadamu wanashangaa magoti njombe??? kwani nani asiyejua mila za ndugu zetu wahehe na wabena?