Reykijaviki
JF-Expert Member
- Aug 25, 2020
- 426
- 653
Alisema Profesa Lipumba kuwa Polepole ana njaa imehamia kichwani [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Njaa mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema Profesa Lipumba kuwa Polepole ana njaa imehamia kichwani [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Njaa mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Najizuia kucheka nashindwa kabisa. Nimejaribu mara 3 nzima
Lipumba alisema njaa si mchezo, ameshazoea maisha ya juu ya VIP kiasi kwamba kuyakosa na kurudi kwa zamani haiwezekani,yuko radhi hata kutembea na tumbo au uchi ikibidi but abakie juu.Hiki kijaa kinafiki balaa. Hakina hata aibu. Yaani kwa jinsi kinavyojipendekeza kwa Magufuli hadi kinatia aibu.
Wanamuita Mtalii.Alafu Zenji hawamtaki Mwinyi..wanasema mbara hiiiiiiii hiiiiiiii
Utadhani sio huyu aliyekuwa anasema wakinamama wanataka kupanuliwa wapi, yaani mtu atakayempigia kura huyu atalaaniwa kuliko hata nyoka.Chonde chonde, halafu mwakani tukabomolewe nyumba zetu bila fidia, hatudanganyiki
Alafu huyu kibaraka wa mabeberu tuu ambaye hawezi hata kutembea vizuri tena kaja tuu ghafla ananyenyekewa na watu hadi wanamuomba asiondoke,wakati hajawahi kujenga hata kichochoro cha kwenda chooni.Rais ametuaibisha CCM yaani mafanikio yote yale midege mifulaiova midaraja mistigilazi goji mi Esijiara yaani bado tunapiga magoti. Kweli wananchi ni wajumbe tuu
Naona akitua hapa dar ICU zitajaa maana naona kuna watu watatamani ardhi izame baharini wapoteane, daah pole pole kanichekesha sana,utadhani sio yeye anayevimbishaga kifua, haa haa walimcheka bashite sasa acha wanywe kikombe chao pia.Kuna mtu kanidokeza kaniambi Lissu anatumia spana za kawaida sana je akianza kutumia combination itakuaje
Dah ila watu hawana huruma au ndio mwana kuli find mwana kuli get?haa haa haaKufokea mwisho kanda ya ziwa tu. Hizi nyanda za juu kusini tunanyoosha tu.
Asa akienda kwa walima korosha huko si ndo atagalagala kabisa.
Wasiojulikana ni watu gani?! Kwangu wasiojulikana ni wakiomuua Mlelwa....ni wale waliochoma ofisi za chadema kwa lengo la kuichafua serikali...ni wale waliokuwa wakiua polisi na viongozi wa serikali kibiti...ni wale waliopanga kuleta vurugu na mauaji nchini siku 20 kabla au kuelekea oktoba 28..Kura itategemea na maisha ya watanzania yakoje maana hata wale wasiojulikana hatusikii kwenye ilani wamewekewa mkakati gani au hili tatizo la wasiojulikana halina madhara ndiyo maana halijazunguzwa kwenye Ilani yao.
Haongelei maisha ya watu kama watu kutoongezewamishaharaanaongelea mabarabara tu. Raisi mpuuzi huyu
Hapa ndio atajuwa kwamba tundu lissu mmoja ni lowassa elfu mojaHata Nyerere hajawahi kupiga magoti sababu ni haki yake ya kikatiba kuchaguliwa au kutochaguliwa sasa magoti anapiga ya nini anataka ahurumiwe kwasababu alipuuza maisha ya wananchi asubiri tarehe 28/10
Wakati ameitwa kwenye tume ya maadiliTundu Lissu shikilia hapo hapo maana mzee baba kapoteana.
aisee, kwa hivyo hapo anajidai bila yeye Magu asingeweza "kulinyanyua" hilo dafu na kulinywa?!.Huyo alishawahi kumshikia Magu madafu wkt magu ameshalishika tayari mikononi liko mdomoni kwa mzee akijiandaa kunywa,kwa unafiki yuko njema
View attachment 1584578