Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Haja chelewa..
Angekiri kuibeba agenda ya Uhuru,haki na maendeleo na kuiishi ingesaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekiri kuibeba agenda ya Uhuru,haki na maendeleo na kuiishi ingesaidia.
Timestuka, hapati kituSasa hivi anapiga magoti.
Mkimpa kura anaanza kuwakoromea, na kutishia kuwapiga shangazi zenu.
Stress zitamuua huyu mzeeKuna ubaya gani kwani!
Maji yamezidi unga braza. Acha kujifarijiNilijua yeye mwenyewe kaamua Kumbe kuna maombi yalikuwa yanapitishwa lakini ata kama angepiga kwa maamuzi yake bado hakuna shida maana aombwaye utukuzwa kwa kuwa yeye kwa wakati huo ndio mtoaji.
Tundu ataua mtu. Hii kali ya mwaka dunia nzima haijawahi tokea.Tundu Lissu shikilia hapo hapo maana mzee baba kapoteana.
Hali ni tete. Unaweza kudhani ni movie aisee
Si yupo hapo pembeni embu zoom kidogoPolepole yuko wapi hadi bwana ake anapigishwa magoti hadharani?
Yupo anashangaa maamuzi haya.Si yupo hapo pembeni embu zoom kidogo
Lissu aliposema safari hii tunamchapa kweli kweli nilikuwa najuwa utani,duuh huyu si ndio yule mzee aliyekuwa anawaambia akina mama wanataka kupanuliwa wapi,mwache anyookweAngekiri kuibeba agenda ya Uhuru,haki na maendeleo na kuiishi ingesaidia.
@Sky Eclat unajua kukera ww dada mpaka nimekupenda bureView attachment 1584589
Walioombwa kura ni hawa wacheza chandimu
Fungulia tu mzee kucheka ni afyaNajizuia kucheka nashindwa kabisa. Nimejaribu mara 3 nzima