Njombe: Juma Kyando, adaiwa kumuua mke wake kisha kumkata vipande na kwenda kumtupa mtoni

RIP,simuachane tu kwan lazima mpaka kufanya Unyama huo hatar sana,,,ila Hii nchi Kuna mikoa sio ya kuoa/kuolewa kabisa inaongoza kwa mauaji ya kutisha,,,kila siku headlines za vifo vya wapenzi ni wao smh
GEita Njombe Songwe zaman na Mbeya hiyo sio mikoa ya binadamu bali majini yaliyo ktk umbo la binadamu.
 
Viongozi wa dini, Watu wa saikolojia na Jeshi la akiba, lihamie Njombe kwa muda, watu wapate elimu.
 
Hiki kizazi chetu sijui hata kina nini. Ni kama vile uzao wa 80 kuja juu ni kama kuna laana imepita.

Nawaza kama wazazi wetu na sisi wangekuwa na fikra na maamuzi kama ya kizazi hiki sijui hata kama wengi wetu tungezaliwa.
Unadhani usingezaliwa kipi kingepungua?
 
Epuka sana kuwa kwenye uhusiano na mtu ambaye hana marafiki. Mshauri wake mkuu ni moyo wake na kichwa chake tu. Siku akichanganyikiwa anashangaza dunia.
 
Hapa umenena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…