Hii nchi ukikaa ukatafakari shida sio vingozi, shida ni raia ambao ni sawa na wafu,Raia badala ya kuomba eliklmu bora kwa watoto ao, au mifumo bora ya afya wao wako busy wanataka miko mipya na wilaya mpya, wapo ambao huomba hadi kata mpya.
Hawa ndo kweli waje kuingia barabara i kudai haki zao? Hakuna kitu kama hicho.