Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Dr. Ndodi hana kitambi bwana, usimvunjie heshima. Dr. Ndodi ana one pack, not six packsTeh .... 😅😅😅
Jamaa lina kitambi hafu lina shauri wenzake .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr. Ndodi hana kitambi bwana, usimvunjie heshima. Dr. Ndodi ana one pack, not six packsTeh .... 😅😅😅
Jamaa lina kitambi hafu lina shauri wenzake .....
Nimependa hapo tu palipo tatuliwa sijui na chui au simba mwenye njaa, mkoba na mazagazaga nimewaachia wengine😍Mm nakufahamu nakumbuka tulivyokula wote kuku pale maeneo ya DODOMA tukapanda zetu li vix la serikali mpaka kilimani.
Siimani hiyo avatar ni wewe kweli
Nina wivu na mm nimejiweka hapo nimekulipa.View attachment 1182241
Mzee umepita Box 2?Shule ya Boys Boarding
Boys ipi zipo nyingiShule ya Boys Boarding
HahahahaNi kweli kuhusu masikio niliwahi kutaniwa ila sio sana.
Kutaniwa nickname nimekuwa kinara kuanzia udogoni hadi jina la udogoni(huwa tunasema jina la nyumbani/kilugha, maana tunakuwa na jina lingine la shule/kidini) limekomaa hadi leo hii na naendelea kulitumia pindi niwapo kijijini.
Mnazi mmoja karibu na jengo la ushirikaWapi mkuu, pataje
Ndio hivyo mkuu.Hata mm mzee
Ile kuna kitu nakitafuta pale twita
Subiri si utaona siku ntakayochomoa betri
Ila nyingine hyo ni real na kila kitu kuanzia picha mpaka sehemu nilipo
Itakuwa huna macho mkuu, mbona wapo humuHawa watu wameenda wapi siwaoni kabisa.
Sakayo
Shunie
@espy
Heaven Sent
Nalendwa
joanah
jje's
Mzigua90
Na wengine wengi
Mama Sabrina
Washaolewa wote kweli!! Ama kweli subiri subiri utakuta mwana si wako
Itakuwa kweli...mchepuko ulivunja mawani yangu juzi.Itakuwa huna macho mkuu, mbona wapo humu
Linkdln nipo muda mrefu sana imenisaidia sana pia quora huwa naitumia sana muda wa kurudi kazini ukifika hapo naswitch off jf just concentratingNdio hivyo mkuu.
Kwingine ambapo nina akaunti real ni FB na Linkdln, ila FB siendagi wala kupost kitu.
Linkdln ni sehemu ya professionals, people zinatema mayai hatari
Hahaha umenkumbusha aisee kuna siku swalehe akawa ananiambia dad you have two packsDr. Ndodi hana kitambi bwana, usimvunjie heshima. Dr. Ndodi ana one pack, not six packs
Quora nipo kwa ID yangu ya Mwifwa, siingii mara kwa mara, maana inahitaji PC ndio iwe fresh badala ya simuLinkdln nipo muda mrefu sana imenisaidia sana pia quora huwa naitumia sana muda wa kurudi kazini ukifika hapo naswitch off jf just concentrating
Quora na real name pia lnkdln .
fb dooh kitambo sana huko ! [emoji28][emoji28]
Nipate sijui shida gani ndo niende fb labda kama nataka nchunguze background ya mtu na tabia zake halisi napitia akaunti zake zote
Picha moja baada ya nyingine na caption zake then najua tabia halisi
Kwa hyo sababu ndo naingia fb na insta otherwise sinaga picha wala post
Nilikua Ujamaa 5 miaka hiyoNdio mkuu