HiDEmYiD
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,893
- 3,640
Table leader sio....hhh tumefungia sana madishi kwa upuuzi wa kutegeana kuosha.
Mimi nilikuwa Mapinduzi 3, nilikuwa sichelewi madishi kwa kiasi kikubwa ili kuhakikisha msuli mrefu naumudu nikiwa nimeshiba