Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Njoo na Id yenye miaka 6+na likes sio chini ya 50k

Aiseee. Nimejiunga JF wakati nina miaka 17. Guess nna umri gani mwaka huu. Maana toka nipo sijui form 4 ndo nilijiunga mwaka 2011 mpaka sasa npo in service.
 
Aiseee. Nimejiunga JF wakati nina miaka 17. Guess nna umri gani mwaka huu. Maana toka nipo sijui form 4 ndo nilijiunga mwaka 2011 mpaka sasa npo in service.
Kwa waangalizi wa ID kongwe unawakomesha kweli kama ni kweli una 24 na una miaka takribani 7 humu

Hili ni chaka lenye giza unaempapasa humjui kama roho yako itasuuzika nae

Wengi wamekimbiana humu
 
Kwa waangalizi wa ID kongwe unawakomesha kweli kama ni kweli una 24 na una miaka takribani 7 humu

Hili ni chaka lenye giza unaempapasa humjui kama roho yako itasuuzika nae

Wengi wamekimbiana humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee una mashairi sana
 
Kweli ni ngumu lakini mtu kuchat nae sms 10 unakuwa ushajua yuko rika gani


Kuna huyo jamaa hapo kasema kajiunga humu 2011 akiwa 17 ugumu upo haswaa sikubishii
Yeah nilitaka nikutolee mfano wa huyo mkuu hapo juu since 2011 kabla hajatoa maelezo yake,
Ungemkadiliaje?
 
Kwanini kina dada mnawaamini hawa watu hivi...sisi tuliojiunga mwaka jana mwaka juzi tukija mnatuona kama wazinguaji.

Hamjui hata hawa wakongwe wapo hivi. kukuchezea ni tabia ya mtu tu haina uhusiano na ukongwr au idadi ya likes.

Japo nikiri kweli member wapya huwa tuna mwaga pumba na comments za ajabu humu. Tunaongoza. Nimefikiria niende kwenye ule uzi wa likes kisha nirudi.

Mjaribu kutufikiria nasi...jaribuni kutusikiliza hadi mwisho sio haujaongea tu unapigwa cha mbavu.
Kaka vumilia tu,one day yes...!
 
Mzee baba unaweza jipa makonfidence mia kuwa huyu haruki. Ukimuingia salaleeee. Kidume unarudi mdogo kama piriton. Sema kwa kuwa ni pm inabaki siri yenu.
Bro unajua dawa ya haya madhila ?
 
Back
Top Bottom