House4Sale Njoo nikujengee nyumba ndogo flat ya makazi au biashara, nakupa na bajeti yake

House4Sale Njoo nikujengee nyumba ndogo flat ya makazi au biashara, nakupa na bajeti yake

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Wakuu mko salama!

Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.

Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.

Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.

NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .

Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.

Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.

Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.

Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276

Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.
 
Wakuu mko salama!

Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.

Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.

Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.

Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.

Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama kupiga gypsum powder, skimming, grouting, tiles building, sewage system za maji safi na taka pamoja na choo, electrical suppliances & wiring, kuframe wallpapers, rain gutters, makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.

Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.

Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276

Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ungeweka sample ya kazi zako na price zake kwanza.
 
Ninataka kujenga ghorofa ya apartments mbili twin chini na juu. Vyumba Vitaya vya kulala kimoja master bedroom, family bathroom, jiko sebule na dining room. Kiwanja kiko Boko.
Mkuu naomba tuwasiliane kama upo serious.
 
Hapo msingi hadi lenta kwa 4.9 M paangaliwe vizuri. Kuna vigezo vingi sana inabidi vitazamwe mfano aina ya udongo unapojenga, kiwanja hakina mwinuko upande mmoja au hakipo bondeni? Misingi ya maeneo tofauti itatofautiana kukidhi hivyo vigezo. Bei haiwezi kufanana.
 
Hapo msingi hadi lenta kwa 4.9 M paangaliwe vizuri. Kuna vigezo vingi sana inabidi vitazamwe mfano aina ya udongo unapojenga, kiwanja hakina mwinuko upande mmoja au hakipo bondeni? Misingi ya maeneo tofauti itatofautiana kukidhi hivyo vigezo. Bei haiwezi kufanana.
ni kweli mkuu nimeandika kwa kiwanja kilicho level moja kabisa yaani gentle slope, mwinuko wa tambarare
 
Hapo msingi hadi lenta kwa 4.9 M paangaliwe vizuri. Kuna vigezo vingi sana inabidi vitazamwe mfano aina ya udongo unapojenga, kiwanja hakina mwinuko upande mmoja au hakipo bondeni? Misingi ya maeneo tofauti itatofautiana kukidhi hivyo vigezo. Bei haiwezi kufanana.
nimeshabadili hapo mkuu nimeweka sawa asante sana kwa taarifa muhimu ndugu yangu.
 
Ushauri: huu uzi wako utatrend sana, na huenda ukapata kazi nyingi humu kama utatekeleza ulivyoeleza kwa uaminifu, hivyo basi hakikisha namba ya simu unayoitoa ni ya kudumu hata baada ya miaka 3 mtu akikutafuta anakupata.
 
Hii gharama uliyotaja ni ufundi tu au ni ya kila kitu?
 
Ubarikiwe.

Na vipi kuhusu ubora wa vifaa vyako mkuu. Unatoa guatantee ya muda gani?
ubora wa vifaa hutegemea na bajeti ya mteja anapomudu na anavyo penda kutumia mfano siwezi lazimisha client kutumia bati ya gauge 28 wakati yeye anataka gauge 30
 
ubora wa vifaa hutegemea na bajeti ya mteja anapomudu na anavyo penda kutumia mfano siwezi lazimisha client kutumia bati ya gauge 28 wakati yeye anataka gauge 30

Nimekuelewa mkuu. Lakini pia kumbuka unawasaidia kushauri wanaotaka kujenga.
Kuna watu hata hiyo tofauti ya 28 na 30 haijui.

Hii inaweza kuwa fursa nzuri ukiweza kuwaelekeza watu namna ya kupata vitu vizuri kwa gharama nafuu. Kwenye ujenzi wanaojenga wanalalamika sana kupigwa na mafundi.
 
Hapo msingi hadi lenta kwa 4.9 M paangaliwe vizuri. Kuna vigezo vingi sana inabidi vitazamwe mfano aina ya udongo unapojenga, kiwanja hakina mwinuko upande mmoja au hakipo bondeni? Misingi ya maeneo tofauti itatofautiana kukidhi hivyo vigezo. Bei haiwezi kufanana.

Mbona hata yeye katoa Angalizo
 
Back
Top Bottom