The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Wakuu mko salama!
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.
Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.
NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .
Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.
Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.
Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.
Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276
Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.
Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.
NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .
Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.
Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.
Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.
Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276
Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.