kwa kiwanja cha 30 kwa 25 kama ni vipimo vya mita panatosha kabisa maana ni 750sqm bado unabaki na eneo kubwa la parking na compound nyingineMkuu Mr increase number yako nimeichukua nina kakiwanja kangu 30×25 nina mpango wa kujenga nyumba za kupangisha set 4 zenye sitting room,room mbili za kulala,choo na jiko dogo nataka nipabane patoshe naona wewe utanifaa.
Fundi ninaye wewe nitaweza kukulipa kwa ushauri tu hii project ni ya mwakani ngoja nipambane kujikusanya kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amenkila la kheri ndugu, karibu na naamini utafanikisha.
Sawa sawa mkuu,tuombeane mafanikio na uzima tutafanya kazi.kwa kiwanja cha 30 kwa 25 kama ni vipimo vya mita panatosha kabisa maana ni 750sqm bado unabaki na eneo kubwa la parking na compound nyingine
Ninataka kujenga ghorofa ya apartments mbili twin chini na juu. Vyumba Vitatu vya kulala kimoja master bedroom, family bathroom, jiko sebule na dining room. Kiwanja kiko Boko.
Wakuu mko salama!
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.
Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.
NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .
Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.
Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.
Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.
Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276
Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.
sihtaji kukuuliza namna ulipata maarfa yako lakini mwalimu wako wa shule ya msingi lazima alikuwa MZUNGU...swali safi sanaUngeweka sample ya kazi zako na price zake kwanza.
Upo wapi wewe?Wakuu mko salama!
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.
Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.
NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .
Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.
Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.
Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.
Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276
Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.
safi sana aiseeeUngeweka picha ya hizo nyumba ulizojenga kwa Bei hiyo
unaweza kukuta gafla nyumba yenywe ukuta unataka kudondoka chini na bei 4.9Ungeweka picha ya hizo nyumba ulizojenga kwa Bei hiyo
mpaka kuisha hadi toilet installation ni Tsh 6,500,000 hapo tumepiga plaster na flow ya rough. vitu kama rangi na tiles ni excluded kwenye cost budgetMzeeya kajumba ka sevant kota ya chumba kimoja sebule kajiko na toilet inaweza kugharimu kiasi gani?
Ukubwa wa nyumba usiozidi 8 by 8 metres
Acha masihala broo. Unajenga mkoa gani huo?ni ya kila kitu boss
Ni bahati mbaya hujaposti kazi ulizokwishafanya. Watu tunashida ya mafundi , tungekutafuta.Wakuu mko salama!
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.
Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.
NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .
Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.
Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.
Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.
Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276
Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.
Ni bahati mbaya hujaposti kazi ulizokwishafanya. Watu tunashida ya mafundi , tungekutafuta.
Wakati nikisuburi sample ya kazi zako hapa, ungeniambia kwa nyumba ya room nne ungefanyaje.Wakuu mko salama!
Ninaweza kukujengea nyumba kama utanipa ramani au nitakupa mimi ramani pamoja na kukuandalia bajeti kwa kila hatua. kuanzia msingi mpaka finishing.
Nikisema flat nina maana ya kujenga nyumba ambayo siyo ghorofa bali ni single roofing, isiyo na many floor.
Mfano nina design na kujenga nyumba za bei nafuu kabisa.
mfano nyumba ya kulala ya futi 10 kwa 10 ( chumba kimoja ) vikiwa vitatu, kimoja master, sebule jiko, dinning ,public toilet kwa kuanzia msingi mpaka lenta ni shilingi milioni 4,900,000 TZ tu.
NOTE: hii bajeti ni kwa eneo lenye mwinuko tambarare na udongo usio mkorofi kama udongo wa kichanga, pia kwa tofali za kuchoma au za block ambazo sio zile za inch 6 ikiwa ni tofauti na hapo bajeti itapanda kutoka 4.9 .
Na kama nyumba ikipauliwa na kumaliziwa madirisha yenye aluminium na milango ni shilingi milioni 17,900,000 TZ jumla kuu.
Gharama nyingine hazihusiki kwenye bajeti tajwa hapo juu, kama
kupiga gypsum powder,
gypsum body,
skimming, grouting,
tiles building,
sewage system za maji safi na taka pamoja na choo,
electrical suppliances & wiring,
kuframe wallpapers,
Kufunga rain gutters,
makabati ya jikoni na mables plus decorations nyingine hazihusishwi na bajeti ya juu.
Nicheki PM tufanye kazi na nikupatie msaada mzuri juu ya ujenzi wa nyumba yako nipo kwa ajili ya kukusaidia ndugu yangu pale unapoumiza kichwa utaweza vipi kujenga nyumba.
Au nipigie kwa nambari +255 678 502 276
Pia natoa ushauri juu ya ujenzi, usisite kunitafuta pale unapohitaji ushauri.
Ahsanteni wadau wenzangu.