House4Sale Njoo nikujengee nyumba ndogo flat ya makazi au biashara, nakupa na bajeti yake

Wakati nikisuburi sample ya kazi zako hapa, ungeniambia kwa nyumba ya room nne ungefanyaje.
boss tambua kuwa ujenzi sio kazi za kuongeleka kirahisi kama kuna vitu sijafahamu kutoka kwako, lazima tukae tupange na nione vile vile site yako nijue userious wako maana tunafanya biashara na siku zote hizi kazi zina matajiri wasumbufu kupitiliza siyo wote ni waelewa, sasa lazima tufanye mahesabu bayana yakufikirika sio mambo ya rejareja vipimo ndio vinavoamua bajeti siku zote.
 
uko wtsp ?
 
VIPIMO NDIYO NGUZO PEKEE YA KUAMUA BAJETI UKIFANYA REJA REJA NI NGUMU KUAMINI PESA ULIYONAYO INATOSHA AU HAITOSHI KUFANYA UJENZI WA NYUMBA YAKO
 
Mkuu tuoneshe prototype. Mbona wenzio wengi wanaonesha huko mtandaoni. Kuna app ya kufanya designs tu. Onesha muonekano wa kazi itakuwaje ikiisha.
 
We jamaa hauko serious, unatangaza biashara halafu whatsapp yenyewe umeonekana mwisho tarehe moja June? Hujui kuwa kuna watu wa nje pia wanaweza kuhitaji huduma yako? Nimekimbilia huko nikakuta hola.
 
We jamaa hauko serious, unatangaza biashara halafu whatsapp yenyewe umeonekana mwisho tarehe moja June? Hujui kuwa kuna watu wa nje pia wanaweza kuhitaji huduma yako? Nimekimbilia huko nikakuta hola.
sorry boss nitaweka namba nyingine ya whatsup iliyo active.
 
Mbona ameweka wazi pale juu kama ulisoma vizuri. Kaandika kabisa kuwa kama udongo /ardhi sio korofi ya udongo wa kichanga.
 
Mbona ameweka wazi pale juu kama ulisoma vizuri. Kaandika kabisa kuwa kama udongo /ardhi sio korofi ya udongo wa kichanga.

Mkuu, ni baada ya kuandika hapo ndio akaenda kurekebisha. Na yeye akasema alisahau kuzingatia hayo. Nilisoma mstari kwa mstari, nukta kwa nukta mkuu.
 
Acha ujinga mkuu tangu page ya 1 watu wanaomba picha/sampo wewe waleta mambo ya ajabu weka picha kama huna sema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…