stickvibration
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 3,226
- 5,147
- Thread starter
-
- #181
..nikajua wana-jf wote wamezaliwa Dar,tena ocean road na wanaishi masaki,obey na mbezi beach tu
kumbe ni mbwembwe tu...vijiji vingine hata havitamkiki
Sent using Jamii Forums mobile app
komakundi mamba kisambo kotela
Iye maeMarangu mae
Karibu supu muda huu niko hapa Nelegani kwa Masanja!
Mimi nipo Buhangija konaKaribu supu muda huu niko hapa Nelegani kwa Masanja!
Jirani yangu mimi wa Kwedifinga njia ya Kwadoli-Kwempafe-Msolokelo-Malowa-Kibati mpaka Kilindi
Tuko wengi humuSafi sana jiran
Me nilikua nyuma ya nmb pale ukiwaunaelekea
Stendi
Pox
Gambasingu.................Bariadi - Mnyantuzu orijino (Somanda hospitalini pale). Mitaa yote ya Sanungu, Sima, Kidinda, Mbiti, Majahida, Ibulyu, Ngulyati, Mahaha, Old Maswa, Ngashanda, Busheni, Matale, Ng'wamapalala, Bumela, Luguru ginnery, Ikungulyabashashi, Gamboshi...Love home...
Ha ha ha aisee umenikumbusha kuiba miwa ,wakati mwingine unaongea na mlinzi anakwambia kula ndani ya shamba usitupe maganda nje,Bila shaka umeiba sana miwa.. Unamjua inno?
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Songambele - Ndago Iramba
Km nitakuwa nimetoka Mwanza pana shoti kati hapo,ama mbele ya SheluiUnapitia Shelui?