SlimFit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2016
- 2,041
- 3,119
Shukrani sanaHahahaha karibu sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sanaHahahaha karibu sana mkuu
BugambaleleMimi nipo tu mtaani mkuu. Buhangija, Bugwandege, Katunda
Mie sio mwenyeji sema tulikuwa tunaenda kwa ajili ya Umiseta
Karibu sanahahahahhah,machame nimefika sehemu moja inaitwa Nronga,unapita soko la Kalali.Kuzuri balaa uko,ukijani wa maana.
NdioUMISETA Pale Tumaini Secondary?
Shule gani kati ya hizi? Lulumba, Ruruma, Gumanga, Chemchem, KibayaNdio
Lulumba na KibayaShule gani kati ya hizi? Lulumba, Ruruma, Gumanga, Chemchem, Kibaya
Aisee! mimi nilisoma hapo TumainiLulumba na Kibaya
nitakupitia
Hahahaha twaweza kuwa tunafahamiana eti eheee,kakaang zangu wawili wamesoma hapo,shemeji yangu na mtt wa Sister piaAisee! mimi nilisoma hapo Tumaini
Hahahaha twaweza kuwa tunafahamiana eti eheee,kakaang zangu wawili wamesoma hapo,shemeji yangu na mtt wa Sister pia
Wawili ni kama 99 au 98,mtt wa sister 2000Inawezekana kweli tunafahamiana, Walimaliza miaka ipi?
Hahahahaha!!! Basi kuna mmoja hapo nimemaliza nae darasa moja!!Wawili ni kama 99 au 98,mtt wa sister 2000