Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 5,996
- 6,290
[emoji23] [emoji23] [emoji23] rahisi sana kuwadaka watu humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umesahau mwasahani, giriku, ikungulwipu, mwamlapa, nkoma, ng'hasha, zanzui, bunamhala, ngeme, mwashegeshi, mwamunhu, nhobora, mbiti, bulolambesi, nyawa, mwamoto, byuna, longalombogo, mwamtani, ngulyati. Mwisho wa yote "Ntuzu original", bhanywaning'we, gosi pye mle bha kaya! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Bariadi - Mnyantuzu orijino (Somanda hospitalini pale). Mitaa yote ya Sanungu, Sima, Kidinda, Mbiti, Majahida, Ibulyu, Ngulyati, Mahaha, Old Maswa, Ngashanda, Busheni, Matale, Ng'wamapalala, Bumela, Luguru ginnery, Ikungulyabashashi, Gamboshi...Love home...
Mkuu nilipita ngeme na mwashegeshi kuelekea nkololo, nguliguli, bushashi nikiwa Na elekea senaniMkuu umesahau mwasahani, giriku, ikungulwipu, mwamlapa, nkoma, ng'hasha, zanzui, bunamhala, ngeme, mwashegeshi, mwamunhu, nhobora, mbiti, bulolambesi, nyawa, mwamoto, byuna, longalombogo, mwamtani, ngulyati. Mwisho wa yote "Ntuzu original", bhanywaning'we, gosi pye mle bha kaya! [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
iborogero napafahamu ni mbele ya ziba kama unaenda dar
majita tmk au?!!Majita moja
kagongwa kulikuwaga na majambazi sn ila hapo kuna rafiki zangu wengi sn kama kina george rock alikuwa mcheza mpira wa hatariKagongwa mbele kaliwa nyuma, ao kaliwa mbele Kagongwa nyuma inategemea unatokea wapi
-mikononyuma-
angepigwa ban kwa sbb gn ?!!...kwa kumjua kiatu au?!!Ha haa Kiatu angekuwa member ungepigwa ban ww. Una bahati siyo member. Huyu ibinzamata siyo kwao,alienda pale kusoma kwa kaka yake mjeshi mmoja hv. Nimesoma nae pale buhangija o-level. Yule amezaliwa na kukulia mpera.
Sent using Jamii Forums mobile app
nhelegani kuna broo wng hpoKaribu supu muda huu niko hapa Nelegani kwa Masanja!
Aisee kumbe nimtu wakwetu kabisa gineheSalawe
Hapo ndipo shoka ilipotoka na Mpini kubakia huko
Shinyanga moja nimekulia Jimbo la Solwaibinzamata
Nyangarata tena?Nyamakwenke, karibu na Nyalugusu, kama unatokea Nyaluyeye, kwenye kona ya Nyangarata...[emoji20] [emoji20] [emoji20]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Kazi kweli kweli humu JF.Mkuu nilipita ngeme na mwashegeshi kuelekea nkololo, nguliguli, bushashi nikiwa Na elekea senani
nadhani humu tutakuwa wawili tu mkuuMaryville - New York
Heee hadi huko unapafahamu? Nahisi nikikutajia kwetu utapafaham fasta maana ile familia ni maarufu sana.
engo sheraton ...au engo ipi hyo?!!
buyogo hapo hungumalwa umenikumbusha mbali snMwamhaya, Nyasamba, ILULA, Ighunghuhya, Lunere, Buyogo, ILUNGHU, Ng'wanza ya madaso.Karibu unywe soda Nkondo A bar
Sent using Jamii Forums mobile app