Life starts at 45
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 998
- 987
Wakuu unajua kuna muda unasema ningekutana na mtu huyu basi ningependa kujua moja mbili tatu, basi hapa ni mahala pako pengine ukapata nafasi hiyo.
Mimi binafsi ningependa kukutana na wafuatao
1. John Pombe Magufuli (Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
[emoji117] Huyu swali langu kubwa ningependa kujua ni vipi aliweza kupambana na Corona au ni kitu gani aligundua kipo nyuma ya pazia maana haiwezekani mpaka leo bado jirani zetu wanapambana nayo.
2. Pastor David Mmbaga
[emoji117] Huyu ningemuuliza ameweza vipi kuwa na imani aliyonayo maana mimi bado naferi kila nikijaribu angalau kuifikia nusu ya iman yake, japo nina imani ipo siku nitaifikia.
Vipi wewe mdau ungependa kuonanna na nani na ni vitu vipi ungependa kufaham kutoka kwake?
Mimi binafsi ningependa kukutana na wafuatao
1. John Pombe Magufuli (Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
[emoji117] Huyu swali langu kubwa ningependa kujua ni vipi aliweza kupambana na Corona au ni kitu gani aligundua kipo nyuma ya pazia maana haiwezekani mpaka leo bado jirani zetu wanapambana nayo.
2. Pastor David Mmbaga
[emoji117] Huyu ningemuuliza ameweza vipi kuwa na imani aliyonayo maana mimi bado naferi kila nikijaribu angalau kuifikia nusu ya iman yake, japo nina imani ipo siku nitaifikia.
Vipi wewe mdau ungependa kuonanna na nani na ni vitu vipi ungependa kufaham kutoka kwake?