Njoo tuambizane ni nani ungependa kukutana naye

Njoo tuambizane ni nani ungependa kukutana naye

🤣🤣🤣 Anajijua si anaitwa lliedie !! Kakalia mpk seli zangu za damu nampenda mpk moyo unaunguruma jina lake..😂
🤣🤣🤣weee🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️
Usituambie mkuu lliedie huyuhyu ninaemjua Mimi .
 
🤣🤣🤣weee🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️🏃🏼‍♀️
Usituambie mkuu lliedie huyuhyu ninaemjua Mimi .
Tena kameniroga hako kabinti..😂
Imefika hatua maji naita mma..🤣
 
Ningependa kukutana na member wote wa Jamii Forum kwa lengo la kujuana pamoja na kuwajibu maswali yote waliyonayo juu yangu.
 
Ningependa kukutana na founder wa IPhone nimuulize kinagaubaga kwanini aliamua kung’ata lile apple nyuma ya iPhone?ndo hivyo tena haiwezekani [emoji3064]

Dada tutaendelea asubuhi[emoji16][emoji23][emoji23]
 
Ningependa Kukutana na Watu Masikini zaidi kuwauliza wao wanawaza nini ili kujikwamua? Ningefanya sampling kila kijiji ili utafiti huo usaidie kupunguza umasikini wao na kujenga Daraja kati yao na Matajiri.

ILI nao wajione sehemu ya Dunia hii.
 
Ningependa Kukutana na Watu Masikini zaidi kuwauliza wao wanawaza nini ili kujikwamua? Ningefanya sampling kila kijiji ili utafiti huo usaidie kupunguza umasikini wao na kujenga Daraja kati yao na Matajiri.

ILI nao wajione sehemu ya Dunia hii.
sawa mkuu
 
Wakuu unajua kuna muda unasema ningekutana na mtu huyu basi ningependa kujua moja mbili tatu, basi hapa ni mahala pako pengine ukapata nafasi hiyo.

Mimi binafsi ningependa kukutana na wafuatao


1. John Pombe Magufuli (Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
[emoji117] Huyu swali langu kubwa ningependa kujua ni vipi aliweza kupambana na Corona au ni kitu gani aligundua kipo nyuma ya pazia maana haiwezekani mpaka leo bado jirani zetu wanapambana nayo.

2. Pastor David Mmbaga
[emoji117] Huyu ningemuuliza ameweza vipi kuwa na imani aliyonayo maana mimi bado naferi kila nikijaribu angalau kuifikia nusu ya iman yake, japo nina imani ipo siku nitaifikia.

Vipi wewe mdau ungependa kuonanna na nani na ni vitu vipi ungependa kufaham kutoka kwake?
ukikutana na namba moja muulizie kama kuna vichenji. .. utanistua mkuu kama vipo
 
Sasa mkurugenzi hapo una maana gani? Au hili ndilo jibu lake
Kichaa hakufundishwa neno la mungu hadi anakufa!

hata hao mababu hawakufundishwa neno la mungu hadi wanakufa.!

kabla ya musa baadhi ya waisrael waliabudu miungu ya misri.!

musa alipo waokoa.. walipo kua mlimani kuna kipindi waka abudu sanamu.. je mungu ali waua?

Jibu ni hapana alimtuma musa kuwafundisha sheria za mungu (Yehova)
 
Kichaa hakufundishwa neno la mungu hadi anakufa!

hata hao mababu hawakufundishwa neno la mungu hadi wanakufa.!

kabla ya musa baadhi ya waisrael waliabudu miungu ya misri.!

musa alipo waokoa.. walipo kua mlimani kuna kipindi waka abudu sanamu.. je mungu ali waua?

Jibu ni hapana alimtuma musa kuwafundisha sheria za mungu (Yehova)
Basi kumbe tutakuwa wengi huko
 
Wakuu unajua kuna muda unasema ningekutana na mtu huyu basi ningependa kujua moja mbili tatu, basi hapa ni mahala pako pengine ukapata nafasi hiyo.

Mimi binafsi ningependa kukutana na wafuatao


1. John Pombe Magufuli (Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
[emoji117] Huyu swali langu kubwa ningependa kujua ni vipi aliweza kupambana na Corona au ni kitu gani aligundua kipo nyuma ya pazia maana haiwezekani mpaka leo bado jirani zetu wanapambana nayo.

2. Pastor David Mmbaga
[emoji117] Huyu ningemuuliza ameweza vipi kuwa na imani aliyonayo maana mimi bado naferi kila nikijaribu angalau kuifikia nusu ya iman yake, japo nina imani ipo siku nitaifikia.

Vipi wewe mdau ungependa kuonanna na nani na ni vitu vipi ungependa kufaham kutoka kwake?
Bora una hiyo nafasi wenzako wameihama nchi kabisa hata nafasi ya kuongea hawakupewa
 
Back
Top Bottom