Njoo tudanganyane kuhusu makomando wa Tanzania

Njoo tudanganyane kuhusu makomando wa Tanzania

Pay respect to your warriors.

Mnakosa kazi za kufanya kuja kudanganyana habari msizozijua kuhusu komandoo na ukomandoo wenyewe!

Najua wengi mnabeza sana jeshi la nchi yenu linaloundwa na ndugu zenu ( watanzania) na kuhusudu majeshi ya mataifa mengine msiyo hata na uelewa nayo.

Ndugu Wanajamiiforums, komaando/komandoo ni askari wa jeshi la nchi ( nchi yoyote Ile) aliyepewa mafunzo maalumu ya kufanya operation za kijeshi kwenye mazingira magumu, kupambana na ugaidi, kuhujumu ngome na vikosi vya adui pamoja na kuvisaidia vikosi vya jeshi.

Kama ilivyo nchi nyingi duniani, jeshi la Tanzania Lina vitengo maalumu vya ukomandoo katika kamandi muhimu tatu;

Yaani 1. Nchi kavu
2. Anga
3. Wanamaji
Wanajitoa katika Hali ngumu ambazo raia wa kawaida ( civilians) hawawezi kufahamu.

Wakati tukinywa bia, shisha na mademu night club, Kuna wenzetu wako makini na mipaka ya taifa hili.

Niwaambie tu, mmewazoea sana hao makomandoo na kufikia hatua ya kuwakejeli mtakavyo labda ni kwa sababu Huwa wanafanya maonesho mepesi ya kimedani kwenye sikukuu za kitaifa.

Hayo ni madogo sana kati ya mengi wayafanyayo. Kuwaheshimu na kuwaombea ni Vema zaidi kuliko kuwadharau na kuwajadili katika namna isiyofaa.

Kufuzu ukomandoo ni kazi ngumu sana ambayo si kila mwanajeshi anaweza kufikia. Ni wiki+ miezi+ na miaka hutumika kumuandaa komandoo.

Wanajeshi wasio makomandoo wanawaheshimu sana makomandoo lakini raia wa kawaida wa jamiiforums anajua kupima hadhi ya ukomandoo kwa mizani yake.

Ni ngumu sana kuwasihi watu wakaachana na mambo wasiyoyajua, hii ni kwa sababu wanataka kujifurahisha na kukejeli watakavyo.
 
Nchi nyingine mwanajeshi akipita wanampa moyo kwa kutamka " THANK YOU FOR YOUR SERVICE"

Tanzania raia watashangaa gwanda halafu baadae wataanza kudanganyana.

Kuwepo kwa askari wachache wasio weledi haiondoi ubora na ufanisi wa jeshi letu kwa ujumla.
 
Folk Legends are everywhere throughout human history. Often exegerated to spice up narration, breathing life into it and adding extra layers of imagination inorder to enforce memory.

Ancient Greeks had Folk Heroes such as Hercules and Achilles, men who could defeat legions of soldiers bare handed. You read and The Iliad by Homer or The Odyssey, you'll clearly see that, Europeans are not so different from us.

Jewish Legends, have Samson, a warrior who defeated 1000 Philistines using a Jawbone. Also David, a child who slew a 14 feet giant using a slingshot.

The Luo had Lwanda Magere, a man whose skin was impervious to any weapon. A soulless child born out of stone, and could fight thousands of men without being worn out.

Such stories, make this world go around. Fiction helps men understand themselves better.

BTW, TZ Komando wetu Mayunga, aliangusha helikopta kwa kuirushia jiwe. 🤣🤣🤣​
 
Pay respect to your warriors.

Mnakosa kazi za kufanya kuja kudanganyana habari msizozijua kuhusu komandoo na ukomandoo wenyewe!

Najua wengi mnabeza sana jeshi la nchi yenu linaloundwa na ndugu zenu ( watanzania) na kuhusudu majeshi ya mataifa mengine msiyo hata na uelewa nayo.

Ndugu Wanajamiiforums, komaando/komandoo ni askari wa jeshi la nchi ( nchi yoyote Ile) aliyepewa mafunzo maalumu ya kufanya operation za kijeshi kwenye mazingira magumu, kupambana na ugaidi, kuhujumu ngome na vikosi vya adui pamoja na kuvisaidia vikosi vya jeshi.

Kama ilivyo nchi nyingi duniani, jeshi la Tanzania Lina vitengo maalumu vya ukomandoo katika kamandi muhimu tatu;

Yaani 1. Nchi kavu
2. Anga
3. Wanamaji
Wanajitoa katika Hali ngumu ambazo raia wa kawaida ( civilians) hawawezi kufahamu.

Wakati tukinywa bia, shisha na mademu night club, Kuna wenzetu wako makini na mipaka ya taifa hili.

Niwaambie tu, mmewazoea sana hao makomandoo na kufikia hatua ya kuwakejeli mtakavyo labda ni kwa sababu Huwa wanafanya maonesho mepesi ya kimedani kwenye sikukuu za kitaifa.

Hayo ni madogo sana kati ya mengi wayafanyayo. Kuwaheshimu na kuwaombea ni Vema zaidi kuliko kuwadharau na kuwajadili katika namna isiyofaa.

Kufuzu ukomandoo ni kazi ngumu sana ambayo si kila mwanajeshi anaweza kufikia. Ni wiki+ miezi+ na miaka hutumika kumuandaa komandoo.

Wanajeshi wasio makomandoo wanawaheshimu sana makomandoo lakini raia wa kawaida wa jamiiforums anajua kupima hadhi ya ukomandoo kwa mizani yake.

Ni ngumu sana kuwasihi watu wakaachana na mambo wasiyoyajua, hii ni kwa sababu wanataka kujifurahisha na kukejeli watakavyo.
Umejielezea Bure Bure tuu watu tupo kupiga soga tu hapa. Shinda Maumivu ya kebehi
 
Unajua zile misheni ngumu ngumu wanazofanya CIA na MI6? Huwa lazima waongozwe na kikosi mojawapo cha makomandoo wa JWTZ.

Hawajawahi kufeli misheni wale, labda waamue kususia wenyewe au kugeukana mzigoni.

Kuna huyu mwamba wakati wa kurudi, baada ya misheni ya usiku kule ME, si akateleza kwenye kamba ya kupandia helikopta.

Basi bwana, unaambiwa jamaa aliogolea kukatiza bahari yote ya pasifiki hadi akafika pwani ya California, na wala hakuwa na vifaa vyovyote vya uogeleaji zaidi ya gwanda zake maalum na silaha nzito.

Baadaye nikirudi, ntaleta picha zake na jina kamili na tarehe ya misheni.
Chai
 
Watanzania tulio wengi ni wajuaji wa vitu tusivyo vijua njooni TUDANGANYANE KUHUSU makomandoo wa JWTZ

Story yeyote ya mtaani uliyoisikia kuhusu wao
Note:motto wao ni

PAIN IS MY MEDICINE
Unasema wale wapasua tofari pale uwanjani?
 
Back
Top Bottom