Njoo tuelekezane jinsi ya kupiga hela Burundi

Njoo tuelekezane jinsi ya kupiga hela Burundi

Kwa sasa bado mkuu mambo yangu hayajanikalia sawa kwa ajili ya kwenda huko nina mishe nyingine mpaka niziweke sawa ndio nitaanza kwenda huko.

Tafuta sehemu nyingine yakwenda kufanya biashara lakini sio Burundi .....Mimi nipo Kigoma na Burundi tunaenda mara kwa mara lakini sio sehemu salama kabisa na warundi Wana maisha magumu sana asikwambie mtu
Asee mi naamini kuna fursa kwenye hizi nchi zenye uchumi wa chini na watu wanazidharau. Mi Burundi ntaenda tu liwalo na liwe. Napenda kupata mwongozo kwa waliowagi kwenda huko kuhusu utaribu wa kuingiza vyakula na ushuru wa mazao upoje.
 
Kama unaona haja ya kwenda Burundi njoo tuungane. Tuwe wabongo wawili watatau tunaenda pamoja kusoma gape. Kuna washkaji zangu Warundi wapo Bujumbura na wapo tayari kutupokea na kufanya biashara na sisi. Nimefuatilia usafiri ni kuanzia 80,000 mpaka 100,000 kutoka Dar - Bujumbura. Kama una passport inagongwa bure unaingia. Ila kama huna utalipa mpakani Tsh 40,000. Mpaka sasa tupo watanzania 3 tulio tayari kwenda. Ukipenda jiunge nasi. Nipigie 0756981717.
 
Tanzania ilivyo kubwa na fursa kibao ya nini kwenda burundi kufanya umachinga.kama unaenda Burundi fine ila uende kama muwekezaji na mtajii wa maana sio chinga,k wanza usalama mdogo na ni masikini kuliko sisi,
Hata sisi ni masikini bado wanakuja watu kutoka mbali huko wanafanya biashara kwetu
 
Tanzania ilivyo kubwa na fursa kibao ya nini kwenda burundi kufanya umachinga.kama unaenda Burundi fine ila uende kama muwekezaji na mtajii wa maana sio chinga,k wanza usalama mdogo na ni masikini kuliko sisi,
Ingekuwa bora sana kama ungetupa walau fursa 3 ulizoziona wewe hapa nyumbani mkuu.
 
Sisi sii masikini trust me hii nchi inautajiri mwingi sema tu wananchi wamesinzia
Mkuu ipo hivi ukiwa na mtaji wa Tsh 2,000,000/- kwa hapa kwetu ni mtaji wa kawaida sana, lkn hiyo hiyo pesa ukiwa Burundi unafanya biashara kubwa na inaonekana

Mimi nimefika Burundi mara kibao na mwaka huuhuuu january nilikuwepo kule napajua vzr, ni sehemu nzuri sana ya kuwekeza hasa kwenye mavazi, chakula na vipodozi (japo hapa kwenye vipodozi warundi sio watu wa manukato sana nazungumzia pafyumu sana sana ni losheni

Narudia tena biashara ipo, nenda ukaone pia usalama upo wa kutosha nenda
 
Mkuu ipo hivi ukiwa na mtaji wa Tsh 2,000,000/- kwa hapa kwetu ni mtaji wa kawaida sana, lkn hiyo hiyo pesa ukiwa Burundi unafanya biashara kubwa na inaonekana

Mimi nimefika Burundi mara kibao na mwaka huuhuuu january nilikuwepo kule napajua vzr, ni sehemu nzuri sana ya kuwekeza hasa kwenye mavazi, chakula na vipodozi (japo hapa kwenye vipodozi warundi sio watu wa manukato sana nazungumzia pafyumu sana sana ni losheni

Narudia tena biashara ipo, nenda ukaone pia usalama upo wa kutosha nenda
Mkuu ipo hivi ukiwa na mtaji wa Tsh 2,000,000/- kwa hapa kwetu ni mtaji wa kawaida sana, lkn hiyo hiyo pesa ukiwa Burundi unafanya biashara kubwa na inaonekana

Mimi nimefika Burundi mara kibao na mwaka huuhuuu january nilikuwepo kule napajua vzr, ni sehemu nzuri sana ya kuwekeza hasa kwenye mavazi, chakula na vipodozi (japo hapa kwenye vipodozi warundi sio watu wa manukato sana nazungumzia pafyumu sana sana ni losheni

Narudia tena biashara ipo, nenda ukaone pia usalama upo wa kutosha nenda
Asante mkuu ntafanya hivyo
 
Wanadhulum sijapata kuona! Mlipane mkono kwa mkono. Jamaa alinidhulum mzigo wa sangara parefu na akataka kuniua hotel. Ukiwa burund huo umaskin wa kutisha sikuona maisha ni kama bongo tu. Changamoto ni zile zile. Sema vijana wa kule tatzo la ajira ni kubwa mno na wana wepes wa kutumia nguvu kupata na uasi.
 
Kama unaona haja ya kwenda Burundi njoo tuungane. Tuwe wabongo wawili watatau tunaenda pamoja kusoma gape. Kuna washkaji zangu Warundi wapo Bujumbura na wapo tayari kutupokea na kufanya biashara na sisi. Nimefuatilia usafiri ni kuanzia 80,000 mpaka 100,000 kutoka Dar - Bujumbura. Kama una passport inagongwa bure unaingia. Ila kama huna utalipa mpakani Tsh 40,000. Mpaka sasa tupo watanzania 3 tulio tayari kwenda. Ukipenda jiunge nasi. Nipigie 0756981717.
Mnipitie mpakani huku Mnanila center twezetu Burundi, ila kitu kimoja ambacho huwa kinawavunja watu moyo ni uvamizi wa mara kwa mara njiani, yaani warundi hawanaga mchezo tunaishi nao tunawafahamu,
 
𝐍𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐧𝐢𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐢𝐞 𝐦𝐚𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨, 𝐛𝐮𝐫𝐮𝐧𝐝𝐢 𝐧𝐢𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐬𝐢 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐭𝐡𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐲𝐚𝐨( 𝐟𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚) 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐮𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐓𝐬𝐡,1000/= 𝐮𝐤𝐢𝐞𝐱𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐞 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐟𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 1200/=, 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐭𝐢𝐦𝐞 𝐡𝐮𝐰𝐚 𝐢𝐧𝐚𝐩𝐚𝐧𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢.
𝐕𝐢𝐭𝐮 𝐯𝐢𝐧𝐚𝐯𝐲𝐨 𝐮𝐳𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐡𝐚𝐫𝐚𝐤𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐧𝐢,
1.𝐤𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚
2.𝐦𝐜𝐡𝐞𝐥𝐞
3.𝐌𝐚𝐡𝐢𝐧𝐝𝐢.
4.𝐌𝐢𝐡𝐨𝐠𝐨 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐤𝐚𝐮𝐤𝐚( 𝐤𝐚𝐦𝐛𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚).
5 𝐌𝐚𝐠𝐨𝐝𝐨𝐫𝐨
6.𝐒𝐢𝐦𝐮
𝐇𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐛𝐢𝐝𝐡𝐚𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐤𝐢𝐦𝐛𝐢𝐚

𝐕𝐢𝐭𝐮 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐬𝐨𝐤𝐨 𝐥𝐚𝐤𝐞 .
1. 𝐕𝐢𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐧𝐚 𝐤𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚
2. 𝐒𝐚𝐛𝐮𝐧𝐢 𝐳𝐚 𝐛𝐮𝐫𝐮𝐧𝐝𝐢.
3. 𝐯𝐢𝐟𝐚𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐦𝐞.
𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐠𝐡𝐚𝐫𝐚𝐦𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐯𝐢𝐩𝐨 𝐛𝐞𝐢 𝐲𝐚 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐢𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐢𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐓𝐳 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐥𝐢.
𝐍𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐬𝐢𝐫𝐢𝐬𝐡𝐚
 
Kuna sehemu nakuelewa ila kubali tu burundi ni masikini east africa nzima
Kwani wewe unaenda Burundi kufuata umaskini wao ama kufuata fursa za biashara. Nadhani lengo lako kwenda Burundi likifikiwa unaweza kufanya maamuzi sahihi ya kwenda ama hapana. Vinginevyo Dangote angeenda kuwekeza kiwanda cha Saruji Washington DC USA na sio Mtwara kuchere.

Cc. Ngosha Mashine
 
𝐍𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐧𝐢𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐢𝐞 𝐦𝐚𝐝𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨, 𝐛𝐮𝐫𝐮𝐧𝐝𝐢 𝐧𝐢𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐮𝐦𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐧𝐚 𝐬𝐢𝐬𝐢 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐭𝐮𝐧𝐚𝐰𝐚𝐳𝐢𝐝𝐢 𝐭𝐡𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐲𝐚𝐨( 𝐟𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚) 𝐲𝐚𝐚𝐧𝐢 𝐮𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐧𝐚 𝐓𝐬𝐡,1000/= 𝐮𝐤𝐢𝐞𝐱𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐞 𝐤𝐰𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐟𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 1200/=, 𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐭𝐢𝐦𝐞 𝐡𝐮𝐰𝐚 𝐢𝐧𝐚𝐩𝐚𝐧𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢.
𝐕𝐢𝐭𝐮 𝐯𝐢𝐧𝐚𝐯𝐲𝐨 𝐮𝐳𝐢𝐤𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐡𝐚𝐫𝐚𝐤𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞𝐧𝐞𝐳𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐣𝐢𝐫𝐢 𝐧𝐢,
1.𝐤𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚
2.𝐦𝐜𝐡𝐞𝐥𝐞
3.𝐌𝐚𝐡𝐢𝐧𝐝𝐢.
4.𝐌𝐢𝐡𝐨𝐠𝐨 𝐢𝐥𝐢𝐲𝐨 𝐤𝐚𝐮𝐤𝐚( 𝐤𝐚𝐦𝐛𝐚𝐫𝐚𝐧𝐠𝐚).
5 𝐌𝐚𝐠𝐨𝐝𝐨𝐫𝐨
6.𝐒𝐢𝐦𝐮
𝐇𝐢𝐯𝐲𝐨 𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐛𝐢𝐝𝐡𝐚𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐩𝐞𝐬𝐚 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐤𝐢𝐦𝐛𝐢𝐚

𝐕𝐢𝐭𝐮 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐨 𝐮𝐧𝐚𝐰𝐞𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐮𝐤𝐚𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐭𝐚𝐩𝐚𝐭𝐚 𝐬𝐨𝐤𝐨 𝐥𝐚𝐤𝐞 .
1. 𝐕𝐢𝐭𝐞𝐧𝐠𝐞 𝐧𝐚 𝐤𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚
2. 𝐒𝐚𝐛𝐮𝐧𝐢 𝐳𝐚 𝐛𝐮𝐫𝐮𝐧𝐝𝐢.
3. 𝐯𝐢𝐟𝐚𝐚 𝐯𝐲𝐚 𝐮𝐦𝐞𝐦𝐞.
𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤𝐚𝐧𝐚 𝐧𝐚 𝐠𝐡𝐚𝐫𝐚𝐦𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐥𝐞 𝐯𝐢𝐩𝐨 𝐛𝐞𝐢 𝐲𝐚 𝐜𝐡𝐢𝐧𝐢 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐧𝐚 𝐮𝐤𝐢𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐟𝐢𝐤𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐓𝐳 𝐮𝐧𝐚𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐫𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐥𝐢.
𝐍𝐚𝐨𝐦𝐛𝐚 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐬𝐢𝐫𝐢𝐬𝐡𝐚
Gharama za kupitisha mpakani
 
Mnipitie mpakani huku Mnanila center twezetu Burundi, ila kitu kimoja ambacho huwa kinawavunja watu moyo ni uvamizi wa mara kwa mara njiani, yaani warundi hawanaga mchezo tunaishi nao tunawafahamu,
Acha kutisha watu wewe jamaa. Uvamizi uvamizi, kwani wao wanaishije na huo uvamizi. Acha watu waende kujionea na wakienda usidhani watakuzibia fursa.
 
Back
Top Bottom