Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Vipi kuhusu mademu wa kirundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu mademu wa kirundi
Vipi mademu wa kirundi?Burundi kupo peace sn nimekaa huko 2017 hadi 2018 tena wakijua ww ni mtz wanapenda sn watanzania, maisha ni simple sn buja chakula Chao kikuu ni ugali hasa wa mhogo ila ni mtamu sn na mweupe kama sembe ukipata na dagaa wa ziwa nyasa wakikaangwa na vile vitunguu vyao dah noma sn ntarudi buja coz nilitengeneza connection ya watu wema huko
CHIEF ACHANA NA KULETA MASIHARA KWENYE MAMBO YA MSINGI.Vipi mademu wa kirundi?
Feedback mkuuBurundi kwa sasa matumizi ya dola sio kama zamani, kwa sasa hadi uagizaji wa mafuta umekuwa wa kusua sua mimi nina jamaa zangu wengi tuu wanahusika na malori na mara kwa mara wananipa update ya huko ikoje kwa sasa,
jana tuu nilikuwa naongea na dereva mmoja ambaye nlitaka aniletee sabuni za nyota nne nikamuuliza kama hali ya kukosekana kwa mafuta bado kupo na akanieleza bado yanasumbua,
na sababu kubwa ni waagizaji wa mafuta hawaruhusiwi kuuza kwa dola wanatakiwa watumie faranga kitu ambacho wao kwenye soko la dunia kuniwapa wakati mgumu kwenye manunuzi.
Na kuhusu benki CRDB najua bado ipo nakumbuka panaitwa buyenzi ndio tawi lipo hapo na usalama upo si kama baadhi ya watu wanavyosema hapa maana ingekuwa si hivyo madereva wetu wangesema tuu hali ikoje.
Mkuu fanya kutembelea eneo husika usiogope sana kujifunza mimi mwenyewe natarajia kwenda huko ndani ya miezi mitatu ijayo nataka nifanye biashara ya mazao na hizo sabuni.
Ila pamoja na umasikini wa Burundi bado mafuta kwao ni bei rahisi kuliko kwetu na mafuta yao kwa asilimia kubwa yanapitia kwetu.
Miji iliyochangamka ni Gitega,Ngozi, Muyinga na Bujumbura yenyewe na kwa hakika ukifnikiwa kupata bidhaa zako zikaenda sawa sawa mafanikio utayaona tuu.
Japo na watu wa kule wengi ni wabishi na majasiri sababu ya vita vita na baadhi walishaingia msituni lakini si kitu cha kukutisha sana cha msingi ishi na watu vizuri upate kufanya biashara zako kwa amani kabisa...
twende zetu buja mkuu tuache uoga watanzania.
Ki vp? KiongoziSina hamu na burundi kuna majambazi wakutisha mno
Burundi nmekaa sana Muyinga kata Buthinda kata ya Kamara magambo. Kwa wachimba Dhahabu/Gold. Pamoja na Bujumbura City Cente( Buyenzi mtaa 8 nyumba na 23), Kinama ( Nyumban kwa Msanii Kidumu), Bwiza, Kirundo, Chibitoke( Kwa wachimba Dhahabu), Ngozi mji wenye chuo kikuu kikubwa, Ruyigi, Chanikuzo,Makamba, Gitega etc
Hakuna Ujambazi ambao watu wanasema.
Bidhaa za kupeleka ni Vyakula kama Mchele mzur, Maharage ya Njano pamoja na Tambi za St Lucia. Pia kama unaweza kupeleka Dagaa wa Kigoma wanasoko sana.
Kuhusu Pesa mara ya Mwisho rate ilikua 1Tsh kwa 1.6 Faranga. Us dollar haitumik sana. Pia ukiwa boader ya Kabanga sehem za kuchange pesa zpo nyingi sana.
Biashara za Electonic zinalipa sana mikoa ya Muyinga, Ngozi, Gitega. Laptop kwao bado zinauzwa Bei kubwa bado.
Sio kweli mkuu, nipo huku mwaka wa 3 huu ujambazi unaousema sijawahi kuusikia.Sina hamu na burundi kuna majambazi wakutisha mno
Vipi lugha ya mawasiliano mtaanj,mm najua kiswahili na kingreza tu,nje na passport vitu gani vingine ntahitaji?Sio kweli mkuu, nipo huku mwaka wa 3 huu ujambazi unaousema sijawahi kuusikia.
Mwaka janaUmetoka lini huko mkuu?
Mwaka jana
Kule n kama My Second home. Mda wowote naenda.Una mpango wa kurudi huko?