rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Burundi kupo peace sn nimekaa huko 2017 hadi 2018 tena wakijua ww ni mtz wanapenda sn watanzania, maisha ni simple sn buja chakula Chao kikuu ni ugali hasa wa mhogo ila ni mtamu sn na mweupe kama sembe ukipata na dagaa wa ziwa nyasa wakikaangwa na vile vitunguu vyao dah noma sn ntarudi buja coz nilitengeneza connection ya watu wema hukoSawa mkuu me sijakataza mtu but tahadhari ni muhim pia
Ni thamani sio dhamaniNdugu zangu kuna biashara nataka kujaribu kufanya ya kutoa bidhaa kariakoo kupeleka Burundi ila katika pitapita, nimegundua changamoto zifuatazo.
1. Mabadiko ya dhamani ya pesa ya Burundi
2. Ugumu wa kubadilisha fedha. Yaan ukiwa na faranga ni ngumu sana kuirudisha kuwa Shilingi.
3. Suala la usalama hasa unapokuwa na cash.
Naomba msaada kwa Mrundi au Mtanzania mwenye uzoefu au uelewa kwenye hayo masuala. Napenda kujua tofauti ya thamani ya fedha zetu pia bidhaa zenye uhitaji mkubwa Burundi zinazopatikana Bongo.
Shukran sana.
Sio wote ni wabaya but kunavisehemu sehemu kikinuka kimenuka kweli, vip ulifanikiwa kufika mkoa unaitwa makamba, je kule kuko vipBurundi kupo peace sn nimekaa huko 2017 hadi 2018 tena wakijua ww ni mtz wanapenda sn watanzania, maisha ni simple sn buja chakula Chao kikuu ni ugali hasa wa mhogo ila ni mtamu sn na mweupe kama sembe ukipata na dagaa wa ziwa nyasa wakikaangwa na vile vitunguu vyao dah noma sn ntarudi buja coz nilitengeneza connection ya watu wema huko
Waongo sana hao, Burundi Ni donor country, hawapendi kujionyesha tu Kama Ali kiba vile.
Ndiyo sehemu nzuri zaidi kibiashara /kilichonikera ni huo mfumo wa kifedha kutokuwa mwepesiKuna sehemu nakuelewa ila kubali tu burundi ni masikini east africa nzima
Dig more deep pls.....! If you canMkuu ipo hivi ukiwa na mtaji wa Tsh 2,000,000/- kwa hapa kwetu ni mtaji wa kawaida sana, lkn hiyo hiyo pesa ukiwa Burundi unafanya biashara kubwa na inaonekana
Mimi nimefika Burundi mara kibao na mwaka huuhuuu january nilikuwepo kule napajua vzr, ni sehemu nzuri sana ya kuwekeza hasa kwenye mavazi, chakula na vipodozi (japo hapa kwenye vipodozi warundi sio watu wa manukato sana nazungumzia pafyumu sana sana ni losheni
Narudia tena biashara ipo, nenda ukaone pia usalama upo wa kutosha nenda
Saidia kwa kutoa uelekezi sehemu ipi salama na wapi huwa sio salamaSio wote ni wabaya but kunavisehemu sehemu kikinuka kimenuka kweli, vip ulifanikiwa kufika mkoa unaitwa makamba, je kule kuko vip
Raia wengi wanaamini sana utapeli, mm Burundi napajua vzr usalama upo biashara pia ipoooo Harmonize aliwahi kuingia mkataba na kampuni moja ya sigara "YES" inatokea BurundiDig more deep pls.....! If you can
Kabisa mkuu, mm nimeuliza kitu ukitaja nchi tano kubwa kiuchumi duniani (tajiri) China huiachi harafu unakuta wachina wanafanya umachinga Kariakoo Tz nchi ambayo kwenye 100 ya nchi tajiri haimo, sisi na Burundi tofauti ipo lkn ni kidogo sana sisi ni wa 29 kutoka mwisho kiuchumi dunianiKwani wewe unaenda Burundi kufuata umaskini wao ama kufuata fursa za biashara. Nadhani lengo lako kwenda Burundi likifikiwa unaweza kufanya maamuzi sahihi ya kwenda ama hapana. Vinginevyo Dangote angeenda kuwekeza kiwanda cha Saruji Washington DC USA na sio Mtwara kuchere.
Cc. Ngosha Mashine
kwa sasa box moja kule bujumbura utalichukuwa kwa 10,000 au 12,000/=Nataka nijue Zaidi kuhusu hizo sabuni maarufu kama Savona zinakuwa kwenye vi box vidogo piece 24 kwa kila ka box, hivi huko zinauzwaje
Nisiwe muongo huo mji wa makamba niliupita tu kwenye gari maana mie nilivukia boda ya tz na Burundi inaitwa manyovu, so ukivuka boda makamba ni miji ya mwanzo sn kwa muonekano ni pazuri sn kumekaa kama njombe hv ila kuna milima mingi sn na hali ya ubaridi flani hv kuna fursa sn za biashara coz niliona hekaheka sn pale, boy trust me buja usalama upo wa kutosha, ukitaka kuenjoy fursa za biashara fika hadi Burundi na Congo bukavu sio mbali sn na bunjumbura huko wacongo wanapenda sn hizi simu za iPhone. Ntarudi tena Congo japo now napanga kwenda mbali zaidi ya AfricaSio wote ni wabaya but kunavisehemu sehemu kikinuka kimenuka kweli, vip ulifanikiwa kufika mkoa unaitwa makamba, je kule kuko vip
Me nipo manyovo mnanila mara nyingi napereka karanga sehemu moja inaitwa kayonzi, i kweli kuna baridi maana kuanzia miezi ya 5,mpaka 8 baridi huwa kali sana kiasi cha milima kufunikwa na hali kama ya mvuke/moshi mzito, kwa wazee wa biashara za mitumba hasa koti ,sweta na jaketi miezi hiyo ndo yakupiga pesaNisiwe muongo huo mji wa makamba niliupita tu kwenye gari maana mie nilivukia boda ya tz na Burundi inaitwa manyovu, so ukivuka boda makamba ni miji ya mwanzo sn kwa muonekano ni pazuri sn kumekaa kama njombe hv ila kuna milima mingi sn na hali ya ubaridi flani hv kuna fursa sn za biashara coz niliona hekaheka sn pale, boy trust me buja usalama upo wa kutosha, ukitaka kuenjoy fursa za biashara fika hadi Burundi na Congo bukavu sio mbali sn na bunjumbura huko wacongo wanapenda sn hizi simu za iPhone. Ntarudi tena Congo japo now napanga kwenda mbali zaidi ya Africa
Safari lini niunge telaKama unaona haja ya kwenda Burundi njoo tuungane. Tuwe wabongo wawili watatau tunaenda pamoja kusoma gape. Kuna washkaji zangu Warundi wapo Bujumbura na wapo tayari kutupokea na kufanya biashara na sisi. Nimefuatilia usafiri ni kuanzia 80,000 mpaka 100,000 kutoka Dar - Bujumbura. Kama una passport inagongwa bure unaingia. Ila kama huna utalipa mpakani Tsh 40,000. Mpaka sasa tupo watanzania 3 tulio tayari kwenda. Ukipenda jiunge nasi. Nipigie 0756981717.
Kwani anaenda kufanya biashara na Burundi au nikufanyia biashara Burundi?Kuna sehemu nakuelewa ila kubali tu burundi ni masikini east africa nzima
Nipo Bujumbura mkuu, KamengeWe upo sehem gani Bujumbura or