Njoo tuelekezane jinsi ya kupiga hela Burundi

Vipi mademu wa kirundi?
 
Nina sabuni na mafuta ya nywele nilitamani kuyapeleka huko Ila Sina connection, any help wadau
 
Feedback mkuu
 
Burundi nmekaa sana Muyinga kata Buthinda kata ya Kamara magambo. Kwa wachimba Dhahabu/Gold. Pamoja na Bujumbura City Cente( Buyenzi mtaa 8 nyumba na 23), Kinama ( Nyumban kwa Msanii Kidumu), Bwiza, Kirundo, Chibitoke( Kwa wachimba Dhahabu), Ngozi mji wenye chuo kikuu kikubwa, Ruyigi, Chanikuzo,Makamba, Gitega etc
Hakuna Ujambazi ambao watu wanasema.
Bidhaa za kupeleka ni Vyakula kama Mchele mzur, Maharage ya Njano pamoja na Tambi za St Lucia. Pia kama unaweza kupeleka Dagaa wa Kigoma wanasoko sana.
Kuhusu Pesa mara ya Mwisho rate ilikua 1Tsh kwa 1.6 Faranga. Us dollar haitumik sana. Pia ukiwa boader ya Kabanga sehem za kuchange pesa zpo nyingi sana.
Biashara za Electonic zinalipa sana mikoa ya Muyinga, Ngozi, Gitega. Laptop kwao bado zinauzwa Bei kubwa bado.
 
Umetoka lini huko mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…