Njoo tukumbushane visa na matukio kutoka kwa viranja ,mamonitor wa secondary na primary:

Duuuh samehe tu ni mapito ya utoto
 
Nilikuwa monitor kuanzia darasa la pili hadi la nne then kiranja. Nikawa kiranja tena sekondari mpaka naondoka, nikawa monitor form five na six muda huohuo ni mwenyekiti wa kikundi cha dini.
Kuongoza watu ni kazi ngumu aisee.
Bila shaka wewe ni dizain ya wale wanafunzi wasafii, wanajibu kila swali, walimu wote mnajuana, wanoko wanoko kila muda wanaenda staff!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…