Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Halafu waliokuwa wakorofi sana enzi hizo wengi wao hawakufanikiwa kumaliza shule.Asante Mwifwa...
Kuna watu natamani niwaone sa hii maana wslinitesa sana mimi jamani!!!!
Wapo viranja wengi sana walikuwa wanatuonea sana lakini waliishia kuacha shule na wengine waliofanikiwa kumaliza shule hawakufaulu.