Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Mi nakumbuka primary kuna kiranja alikuwaga ananionea sana kisa usmart wangu afu pia nilikuwa na materials na vifaaa vingi vya kuchezea maana mama yangu alikuwa anafanya kazi shirika moja la kugawa misaada kwa watoto kuna siku nilimwita sehemu nilimpiga mawe nilipoondoka shuleni sikurudi tena mama alinihamisha sijui nini kilijiri.
Secondary nakumbuka monitress alikuwa na tabia ya kuniandika kwa wapiga kelele bila sababu ila mwisho wa siku alikuja kunambia alitokea kunichukia sababu alinipenda sana sema Mimi sikuonesha nia tulifall in love kitu kilichonipelekea u gomvi mkubwa na aliyekuwa kiranja wa nidham nikawa mtu wa kusingiziwa na kuundiwa mazengwe kisa mtoto mzuri B.
Secondary nakumbuka monitress alikuwa na tabia ya kuniandika kwa wapiga kelele bila sababu ila mwisho wa siku alikuja kunambia alitokea kunichukia sababu alinipenda sana sema Mimi sikuonesha nia tulifall in love kitu kilichonipelekea u gomvi mkubwa na aliyekuwa kiranja wa nidham nikawa mtu wa kusingiziwa na kuundiwa mazengwe kisa mtoto mzuri B.