Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

 
Kulikuwa na mauza uza gani na upande gani? bwawani, Kota, uwanja wa damu au mahangani? Wanakijiji wa komsanga, kodiwawala, gendagenda na chekereni hawana jipya wazigua wale..
Mgambo JKT kuna wazee walikuwa wachawi hadi wanapelekwa kusimamia mashamba mbali na kikosi
 
Hahaha RSM kipindi hiko alikuwa nani mkuu?
Nimesha msahau kuna mzee mmoja iv alitupigisha kwata ya mwisho kwa macho alikuwa mpole ila maafande walikuwa wanasema uyo mzee ni hatari

Afu wakati tunaingia kikosini kunaafande mmoja iv ni masai, alivotoka kazini kufika kwenye mrango wakea akaona kuna wali umemwagwa kama kuna watu wametoka kula chakula iv (kumbe wachawi washamlia wali ) masikini mzee wa watu hakuchukua mda akafariki
Afu tukio la kuwaka moto hapa jilani na main gate kuna uwanja mbele kidogo kuna msikiti kama unaenda hospital iv
 
Hahahhah huyo huyo afande mmasai anaitwa akonayi
 
Unausemea uwanja uliyopo pembezoni mwa barabara kuu jirani na kilima cha kuelekea main gate. Au ule wa kushoto mkubwa. Ambao kwa mbele Kuna ofisi za utawala
 


Haaaa, mambo madogo hayo!!, kwani amekudhuru kitu hadi ukamfungie kazi??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…