Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

Alphonce mawazo akikatwa mapanga huko Geita, mchana Mbingi zikishuhudia, kwa agizo toka kwa nanii, huku wakipongezana , hao hao wakampiga Lissu risasi, wakamvunja Mbowe mguu wakakimbilia kusemea kule kwenye kinga ya kisheria alikuwa kwa vimada wake, HAYA NDIO MAMBO YA KUTISHA TOKA NIZALIWE
 
Unaweza kuta kuna mkulima alikuona huo muda nae akahadithia ameona jini mwanafunzi usiku wa manane.
 
mkoa gani huo man?

tuambie tuwe na tahadhari
 

Eliya
 
Du masoja wenzako hao
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nachi
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…