Njoo uajiriwe kwa wazo lako la biashara lenye tija, linalohitaji mtaji mdogo

Njoo uajiriwe kwa wazo lako la biashara lenye tija, linalohitaji mtaji mdogo

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Tutumie uzi huu kupambanua mawazo mbalimbali ya kibiashara, yanayohitaji mitaji midogo, kuanzia shilingi 50,000/= mpaka 1,000,000/=

Hasa kwa wale wenye mawazo ya kibiashara na hawana mitaji; atakayeweza kupambanua vizuri, pamoja na kupangua hoja; aweze kuajiriwa na mtu anayeweza kutoa mtaji.

Na si kupewa mtaji ili akajiajiri, bali ataajiriwa na mwenye mtaji katika kulitekeleza lile wazo lake, huku yeye akiingia makubaliano ya kulipwa mshahara kwa mwezi.

Karibuni kwa mjadala.​
 
Tutumie uzi huu kupambanua mawazo mbalimbali ya kibiashara, yanayohitaji mitaji midogo, kuanzia shilingi 50,000/= mpaka 1,000,000/=

Hasa kwa wale wenye mawazo ya kibiashara na hawana mitaji; atakayeweza kupambanua vizuri, pamoja na kupangua hoja; aweze kuajiriwa na mtu anayeweza kutoa mtaji.

Na si kupewa mtaji ili akajiajiri, bali ataajiriwa na mwenye mtaji katika kulitekeleza lile wazo lake, huku yeye akiingia makubaliano ya kulipwa mshahara kwa mwezi.

Karibuni kwa mjadala.​
Nenda Sido ndo mwanzo wa kujiajiri kwani usiniulize utajiari vipi .
Ww nenda kuna darasa linaendelea pale linaishia kesho then watachukua wanafunzi wengine
 
Tutumie uzi huu kupambanua mawazo mbalimbali ya kibiashara, yanayohitaji mitaji midogo, kuanzia shilingi 50,000/= mpaka 1,000,000/=

Hasa kwa wale wenye mawazo ya kibiashara na hawana mitaji; atakayeweza kupambanua vizuri, pamoja na kupangua hoja; aweze kuajiriwa na mtu anayeweza kutoa mtaji.

Na si kupewa mtaji ili akajiajiri, bali ataajiriwa na mwenye mtaji katika kulitekeleza lile wazo lake, huku yeye akiingia makubaliano ya kulipwa mshahara kwa mwezi.

Karibuni kwa mjadala.​
nasubili wazoefu
 
Wazo la Kwanza: Kuanzisha Microfinance. Mtaji 1000000Tsh. Ila inahitajika hela kidogo kwa ajiri ya pango na kukata leseni.
Location sehemu yoyote yenye biashara ndogo ndogo.


No:2
Forex.
Investment amount: 500000 Tsh
Return: kwa wiki nakurudishia 50000 Tsh kama faida.

Risk ya kupoteza hela yote ni asilimia 40. Kama unataka evidence njoo PM.

No:3.
Tafuta watu mtaani au wakaribu yako, then chambua mawazo ya watu tofauti tofauti kuhusu biashara kwenye jukwaa hili then wape mtaji na uwasimamie. Hii nahisi itakua rahisi sana kuliko mtu kuja na idea then umlipe kwenye idea yake
 
Tutumie uzi huu kupambanua mawazo mbalimbali ya kibiashara, yanayohitaji mitaji midogo, kuanzia shilingi 50,000/= mpaka 1,000,000/=

Hasa kwa wale wenye mawazo ya kibiashara na hawana mitaji; atakayeweza kupambanua vizuri, pamoja na kupangua hoja; aweze kuajiriwa na mtu anayeweza kutoa mtaji.

Na si kupewa mtaji ili akajiajiri, bali ataajiriwa na mwenye mtaji katika kulitekeleza lile wazo lake, huku yeye akiingia makubaliano ya kulipwa mshahara kwa mwezi.

Karibuni kwa mjadala.​
Sasa anaetoa mtaji hapa ni nani mkuu ni wewe?
 
Wazo la Kwanza: Kuanzisha Microfinance. Mtaji 1000000Tsh. Ila inahitajika hela kidogo kwa ajiri ya pango na kukata leseni.
Location sehemu yoyote yenye biashara ndogo ndogo.
Gharama ya leseni huwa ni kiasi gani
 
Nina million tatu hapa nani anaweza kuwa na wazo zuri mwisho wa mwezi awe analeta laki 3
Yani 3m kwa mwezi unataka 300k means unataka hesabu ya 10k per day,sina hata haja ya kukwambia nitaifanyia nini,nipe mtaji huo mkuu nikupe hesabu yako kama unavyotaka either kwa mwezi kama unavyotaka au kwa siku

Uhakika 100% kukaribishwa ofisini kwangu ujue ninachofanya Ruksa ila sio kumwaga hapa,mawazo yangu,mimi ni mchoyo eneo hilo mkuu,Kama kweli upo serious kama nilivyo basi story zote uje ujionee ofisini kwangu,uhakika kwako wa 300k kwa mwezi ni 100% bila kona kona zozote.
 
Back
Top Bottom