Njoo uajiriwe kwa wazo lako la biashara lenye tija, linalohitaji mtaji mdogo

Njoo uajiriwe kwa wazo lako la biashara lenye tija, linalohitaji mtaji mdogo

Kwa mfano hapo kwenye usambazaji wa mayai wewe unachohitaji ni nini haswa?, kama ni Mtaji na unasema Wateja unao tayari ndio kusema ulishaifanya hiyo kazi kabla?.
Hivyo kinachohitajika sasa ni mtaji mkubwa ili kuanza kuwa wazalishaji kuliko nnavyokusanya toka kwa watu mbalimbali
 
Vitambaa vya jeans na cadet agiza nje....... unaweza chagua rangi pia na size ukashonewa huko huko.huku zinakuja zikiwa tayali
Sawa, ingawa wazo langu ni kuzitengenezea hapa; wakitengeneza huko nje, ni sawa na kufanya uchuuzi tu
 
Hivyo kinachohitajika sasa ni mtaji mkubwa ili kuanza kuwa wazalishaji kuliko nnavyokusanya toka kwa watu mbalimbali
Jaribu kuoanisha mtaji unaotakiwa, na uuvunje kwa vipande vya hisa, na ufuate taratibu zinazotakiwa, ili jamii iweze kuwekeza kwa mfumo wa hisa katika biashara yako
 
Sawa, ingawa wazo langu ni kuzitengenezea hapa; wakitengeneza huko nje, ni sawa na kufanya uchuuzi tu
SawA mim naweza sana kukwambia kuhusu nguo za kike namna ya kuzipata kwa bei ya jumla na tena na jinsi ya kuagiza....nguo za kiume pia naweza lkn sio sana kama za kike......Mimi ningekushauri kama unajua mtu ambae yupo katoro geita muulize bei ya kadet kwa jumla ni kias gani, alafu uliza na turkey na china alaf uliza na kariakoo
 
SawA mim naweza sana kukwambia kuhusu nguo za kike namna ya kuzipata kwa bei ya jumla na tena na jinsi ya kuagiza....nguo za kiume pia naweza lkn sio sana kama za kike......Mimi ningekushauri kama unajua mtu ambae yupo katoro geita muulize bei ya kadet kwa jumla ni kias gani, alafu uliza na turkey na china alaf uliza na kariakoo
Geita zinaenda kwa bei gani?
 
Zipo nyingi mkuu moja wapo ya kufungua kijiwe cha kokoto nyeusi na kwa sasa ni biashara ambayo inatoka sana unaweza ukashusha mzigo wa 1mil na siku hiyo hiyo ukaisha na kwa kila mzigo unaoishia unafaida ya laki 3 hapo ni baada ya matumizi yote ila inahitaji uangalizi wa hali ya juu hasa kwenye kupakia mzigo shamba
Hii hata mm nimeikubali mdau.inafanyika sana maeneo gani?
 
Mkuu, nipangishie fremu, uniwekee ka meza uchwara na ka kiti ka kuzunguka! Itakayobaki iwe mtaji wa Betting! Hakika utaleta mrejesho!

Ikishindikana betting, hela itakayobaki baada ya hasara, naenda kununua codes safi navaa, kisha naelekea mitaa ya mlimani city au telegram kutafuta mijimama, uzuri mkuyenge mkubwa ninao, hence napata mapato kupitia squiting za hao wamama [emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nasubili wazoefu
Tutumie uzi huu kupambanua mawazo mbalimbali ya kibiashara, yanayohitaji mitaji midogo, kuanzia shilingi 50,000/= mpaka 1,000,000/=

Hasa kwa wale wenye mawazo ya kibiashara na hawana mitaji; atakayeweza kupambanua vizuri, pamoja na kupangua hoja; aweze kuajiriwa na mtu anayeweza kutoa mtaji.

Na si kupewa mtaji ili akajiajiri, bali ataajiriwa na mwenye mtaji katika kulitekeleza lile wazo lake, huku yeye akiingia makubaliano ya kulipwa mshahara kwa mwezi.

Karibuni kwa mjadala.​
Mi nipo tayari ila andaa 3M nakuingizia faida ya 3 laki kwa mwezi
 
SawA mim naweza sana kukwambia kuhusu nguo za kike namna ya kuzipata kwa bei ya jumla na tena na jinsi ya kuagiza....nguo za kiume pia naweza lkn sio sana kama za kike......Mimi ningekushauri kama unajua mtu ambae yupo katoro geita muulize bei ya kadet kwa jumla ni kias gani, alafu uliza na turkey na china alaf uliza na kariakoo
Nahitaji kuwasiliana na wewe Kuna Mambo nataka tuongee kuhusu katoro nifungulie mlango PM au nipe namba boss
 
Kwa mtaji wowote ulionao,ila huna wazo la biashara.
Njoo na mtaji wako,mimi nitafanya biashara,na Kwa uzoefu wa biashara na fursa mbalimbali za ujasiriamali nilizonazo.Nina kuhakikishia nitakuwa nakupa faida ya 5% kila mwezi ya mtaji wako wowote utakaokuja nao.
Mtaji kianzio ni million tatu na kuendelea.
Hiyo faida ni ya kwako,mimi nitakuwa nimeshajilipa,na mtaji wako baada ya mkataba kuisha unachukua pesa yako uliyonipa kama mtaji.
Njoo pm.



Sent from my RMX3491 using JamiiForums mobile app
 
Kwa walioko Dar es salaam au mji wenye watu wengi tafuta benchi mbili tatu, chupa ndogo, vikombe vidogo, ndoo ya maji, beseni dogo, sabuni, jiko la mkaa, mkaa, tangawizi na kahawa pamoja na sukari. Usisahau redio.

Mtaji wake ni 60,000 mpaka 70,000.....
Hichi ni kijiwe cha kahawa na tangawizi.
 
Kwa walioko Dar es salaam au mji wenye watu wengi tafuta benchi mbili tatu, chupa ndogo, vikombe vidogo, ndoo ya maji, beseni dogo, sabuni, jiko la mkaa, mkaa, tangawizi na kahawa pamoja na sukari. Usisahau redio.

Mtaji wake ni 60,000 mpaka 70,000.....
Hichi ni kijiwe cha kahawa na tangawizi.
Redio ni bure na chupa unanunua shingap ?
 
Back
Top Bottom