Encysis Inc
Member
- Jul 31, 2019
- 87
- 118
Hivyo kinachohitajika sasa ni mtaji mkubwa ili kuanza kuwa wazalishaji kuliko nnavyokusanya toka kwa watu mbalimbaliKwa mfano hapo kwenye usambazaji wa mayai wewe unachohitaji ni nini haswa?, kama ni Mtaji na unasema Wateja unao tayari ndio kusema ulishaifanya hiyo kazi kabla?.