Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Wewe mwenyewe unaetoa idea! Yeye anakuwa anakuja kuchukua mapato ya siku, kisha kukutengea fungu lakoSasa anaetoa mtaji hapa ni nani mkuu ni wewe?
[emoji41][emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe unaetoa idea! Yeye anakuwa anakuja kuchukua mapato ya siku, kisha kukutengea fungu lakoSasa anaetoa mtaji hapa ni nani mkuu ni wewe?
Ofisi ipo wapiYani 3m kwa mwezi unataka 300k means unataka hesabu ya 10k per day,sina hata haja ya kukwambia nitaifanyia nini,nipe mtaji huo mkuu nikupe hesabu yako kama unavyotaka either kwa mwezi kama unavyotaka au kwa siku
Uhakika 100% kukaribishwa ofisini kwangu ujue ninachofanya Ruksa ila sio kumwaga hapa,mawazo yangu,mimi ni mchoyo eneo hilo mkuu,Kama kweli upo serious kama nilivyo basi story zote uje ujionee ofisini kwangu,uhakika kwako wa 300k kwa mwezi ni 100% bila kona kona zozote.
Mkuu, nipangishie fremu, uniwekee ka meza uchwara na ka kiti ka kuzunguka! Itakayobaki iwe mtaji wa Betting! Hakika utaleta mrejesho!Nina million tatu hapa nani anaweza kuwa na wazo zuri mwisho wa mwezi awe analeta laki 3
Nimekujibu PM mkuu, taaarifa zote personal ntakua nikikujibia PMOfisi ipo wapi
Wee weka mkeka huko pm kwa wiki nzima tuoneMkuu, nipangishie fremu, uniwekee ka meza uchwara na ka kiti ka kuzunguka! Itakayobaki iwe mtaji wa Betting! Hakika utaleta mrejesho!
Ikiahindikana betting, hela itakayobaki baada ya hasara, naenda kununua codes safi navaa, kisha naelekea mitaa ya mlimani city au telegram kutafuta mijimama, uzuri mkuyenge mkubwa ninao, hence napata mapato kupitia squiting za hao wamama [emoji41][emoji41]
Funguka mkuuYani 3m kwa mwezi unataka 300k means unataka hesabu ya 10k per day,sina hata haja ya kukwambia nitaifanyia nini,nipe mtaji huo mkuu nikupe hesabu yako kama unavyotaka either kwa mwezi kama unavyotaka au kwa siku
Uhakika 100% kukaribishwa ofisini kwangu ujue ninachofanya Ruksa ila sio kumwaga hapa,mawazo yangu,mimi ni mchoyo eneo hilo mkuu,Kama kweli upo serious kama nilivyo basi story zote uje ujionee ofisini kwangu,uhakika kwako wa 300k kwa mwezi ni 100% bila kona kona zozote.
Atakuja kufunguka yeye alienipa huo mtaji mkuu,nadhani ingependeza arudishe mrejesho yeye ingependeza zaidi kuliko nikisema mimi,staki kujipa ujiko.Funguka mkuu
Kwa muda gani ama hadi ukamilifu kwa dahari?Nina million tatu hapa nani anaweza kuwa na wazo zuri mwisho wa mwezi awe analeta laki 3
Hiyo ni lifetime mzeya mie kazi yangu inakuwa kuchapa marimba tuu hapa jfKwa muda gani ama hadi ukamilifu kwa dahari?
Hiyo itakulipa zaidi ya kunikabidhi boxer ya mkataba Mkuu🤣Hiyo ni lifetime mzeya mie kazi yangu inakuwa kuchapa marimba tuu hapa jf
SihakuelewaHiyo itakulipa zaidi ya kunikabidhi boxer ya mkataba Mkuu🤣
Sihakuele
Hiyo mkayba wa dodablda mie naona kama wamnufaisha jamaa zaidi kulikonwewe mwenyewe. Maana hiyo piki piki sii anaitunza vizuri anaitumia miaka mitano. Tena kwa route za dar sii full raha machine haichokiWapo wenye mtaji hununua pikipiki kisha huingia mkataba na dereva kwa malipo kadhaa kwa muda flan ,dereva aktimiza malipo kwa muda huo anabaki na pikipiki, Sasa nilfikiri hiyo Tsh 3m itakuwa kwa muda kwa malipo hayo uliyotaja kwa miezi kadhaa, 🤣 3m itakuwa n
Nilimanisha mikataba kama hiyo yenye ukomo wa muda, muhimu umepata ulichokusudia tukiangalia nyuma tutachelewa fikaHiyo mkayba wa dodablda mie naona kama wamnufaisha jamaa zaidi kulikonwewe mwenyewe. Maana hiyo piki piki sii anaitunza vizuri anaitumia miaka mitano. Tena kwa route za dar sii full raha machine haichoki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa muda gani ama hadi ukamilifu kwa dahari?
Km bado hujapata pls text me 0745775598Nina million tatu hapa nani anaweza kuwa na wazo zuri mwisho wa mwezi awe analeta laki 3
Njoo na wazo weweNasoma comments
Gonga pm huko ulete wazoKm bado hujapata pls text me 0745775598