Encysis Inc
Member
- Jul 31, 2019
- 87
- 118
Hivyo kinachohitajika sasa ni mtaji mkubwa ili kuanza kuwa wazalishaji kuliko nnavyokusanya toka kwa watu mbalimbaliKwa mfano hapo kwenye usambazaji wa mayai wewe unachohitaji ni nini haswa?, kama ni Mtaji na unasema Wateja unao tayari ndio kusema ulishaifanya hiyo kazi kabla?.
Vitambaa vya jeans na cadet agiza nje....... unaweza chagua rangi pia na size ukashonewa huko huko.huku zinakuja zikiwa tayaliVitambaa vya jinsi na kadeti, naweza kupata wapi, na bei kwa mita ni kiasi gani?
Sawa, ingawa wazo langu ni kuzitengenezea hapa; wakitengeneza huko nje, ni sawa na kufanya uchuuzi tuVitambaa vya jeans na cadet agiza nje....... unaweza chagua rangi pia na size ukashonewa huko huko.huku zinakuja zikiwa tayali
Jaribu kuoanisha mtaji unaotakiwa, na uuvunje kwa vipande vya hisa, na ufuate taratibu zinazotakiwa, ili jamii iweze kuwekeza kwa mfumo wa hisa katika biashara yakoHivyo kinachohitajika sasa ni mtaji mkubwa ili kuanza kuwa wazalishaji kuliko nnavyokusanya toka kwa watu mbalimbali
Kampuni ya niniKampuni
fika ofisini ujionee maneno hayahitajikiOfiis iko wapi na inajihusisha na nini boss
SawA mim naweza sana kukwambia kuhusu nguo za kike namna ya kuzipata kwa bei ya jumla na tena na jinsi ya kuagiza....nguo za kiume pia naweza lkn sio sana kama za kike......Mimi ningekushauri kama unajua mtu ambae yupo katoro geita muulize bei ya kadet kwa jumla ni kias gani, alafu uliza na turkey na china alaf uliza na kariakooSawa, ingawa wazo langu ni kuzitengenezea hapa; wakitengeneza huko nje, ni sawa na kufanya uchuuzi tu
Geita zinaenda kwa bei gani?SawA mim naweza sana kukwambia kuhusu nguo za kike namna ya kuzipata kwa bei ya jumla na tena na jinsi ya kuagiza....nguo za kiume pia naweza lkn sio sana kama za kike......Mimi ningekushauri kama unajua mtu ambae yupo katoro geita muulize bei ya kadet kwa jumla ni kias gani, alafu uliza na turkey na china alaf uliza na kariakoo
Hii hata mm nimeikubali mdau.inafanyika sana maeneo gani?Zipo nyingi mkuu moja wapo ya kufungua kijiwe cha kokoto nyeusi na kwa sasa ni biashara ambayo inatoka sana unaweza ukashusha mzigo wa 1mil na siku hiyo hiyo ukaisha na kwa kila mzigo unaoishia unafaida ya laki 3 hapo ni baada ya matumizi yote ila inahitaji uangalizi wa hali ya juu hasa kwenye kupakia mzigo shamba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, nipangishie fremu, uniwekee ka meza uchwara na ka kiti ka kuzunguka! Itakayobaki iwe mtaji wa Betting! Hakika utaleta mrejesho!
Ikishindikana betting, hela itakayobaki baada ya hasara, naenda kununua codes safi navaa, kisha naelekea mitaa ya mlimani city au telegram kutafuta mijimama, uzuri mkuyenge mkubwa ninao, hence napata mapato kupitia squiting za hao wamama [emoji41][emoji41]
ushampata kama bado ni pmNina million tatu hapa nani anaweza kuwa na wazo zuri mwisho wa mwezi awe analeta laki 3
Haya leta wazo huko pm nasubiriaushampata kama bado ni pm
nasubili wazoefu
Mi nipo tayari ila andaa 3M nakuingizia faida ya 3 laki kwa mweziTutumie uzi huu kupambanua mawazo mbalimbali ya kibiashara, yanayohitaji mitaji midogo, kuanzia shilingi 50,000/= mpaka 1,000,000/=
Hasa kwa wale wenye mawazo ya kibiashara na hawana mitaji; atakayeweza kupambanua vizuri, pamoja na kupangua hoja; aweze kuajiriwa na mtu anayeweza kutoa mtaji.
Na si kupewa mtaji ili akajiajiri, bali ataajiriwa na mwenye mtaji katika kulitekeleza lile wazo lake, huku yeye akiingia makubaliano ya kulipwa mshahara kwa mwezi.
Karibuni kwa mjadala.
Tupe mchanganuo; wengi kutaja ni rahisiMi nipo tayari ila andaa 3M nakuingizia faida ya 3 laki kwa mwezi
Nahitaji kuwasiliana na wewe Kuna Mambo nataka tuongee kuhusu katoro nifungulie mlango PM au nipe namba bossSawA mim naweza sana kukwambia kuhusu nguo za kike namna ya kuzipata kwa bei ya jumla na tena na jinsi ya kuagiza....nguo za kiume pia naweza lkn sio sana kama za kike......Mimi ningekushauri kama unajua mtu ambae yupo katoro geita muulize bei ya kadet kwa jumla ni kias gani, alafu uliza na turkey na china alaf uliza na kariakoo
Redio ni bure na chupa unanunua shingap ?Kwa walioko Dar es salaam au mji wenye watu wengi tafuta benchi mbili tatu, chupa ndogo, vikombe vidogo, ndoo ya maji, beseni dogo, sabuni, jiko la mkaa, mkaa, tangawizi na kahawa pamoja na sukari. Usisahau redio.
Mtaji wake ni 60,000 mpaka 70,000.....
Hichi ni kijiwe cha kahawa na tangawizi.