X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #21
Karibu kwenye hili game kama vigezo unavyoNdio mkuu nipo tanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu kwenye hili game kama vigezo unavyoNdio mkuu nipo tanganyika
Haaaahaaasi through mobile money
Asante wikend hii lazima nile vichwa vya warembo.Karibu kwenye hili game kama vigezo unavyo
Haaahaa usitaget warembo mkuu wanarudisha sana mambo nyuma...unaweza ukajikuta huendelei... target Yao iwe kujiimalisha kiuchumiAsante wikend hii lazima nile vichwa vya warembo.
Kwanini...?Mimi nikipewa pikipiki saa 2 asubuhi, mpaka kufika saa 10 jioni mnaenda kunifukia pale Kisutu.
Umesahau LATRA Ile ya pembe nneKujiunga ni bure bure kabisa unatakiwa uwe na
✓LESENI ya udereva yenye Madaraja ya pikipiki kama unataka kuendesha piki piki au c1 kama unataka kuendesha tax
✓chombo chako kiwe na Leseni ya usafirishaji abiria inayotolewa na Latra
✓uwe na bima yoyote hata Third party
✓chombo chako kiwe na usajiri wa biashara
Mhm weee bwana mie niskudanganye nitafanya hiyo business nikumbagiwe na waremboHaaahaa usitaget warembo mkuu wanarudisha sana mambo nyuma...unaweza ukajikuta huendelei... target Yao iwe kujiimalisha kiuchumi
Kwa vyovyote akienda kukata Latra lazima watampa ya pembe nne nadhani Latra wamebasilisha aina za kadi zao kwasababu feki zilikuwa nyingi sana mtaaniUmesahau LATRA Ile ya pembe nne
Sawa karibu ukikwama usisite kuomba ushauriMhm weee bwana mie niskudanganye nitafanya hiyo business nikumbagiwe na warembo
Naweza kutumia leseni ya mtu ?Kwa vyovyote akienda kukata Latra lazima watampa ya pembe nne nadhani Latra wamebasilisha aina za kadi zao kwasababu feki zilikuwa nyingi sana mtaani
Naikanda mpaka ipaeKwanini...?
Sawa karibu ukikwama usisite kuomba ushauri
Bei gani hiiKwa vyovyote akienda kukata Latra lazima watampa ya pembe nne nadhani Latra wamebasilisha aina za kadi zao kwasababu feki zilikuwa nyingi sana mtaani
Naweza kutumia leseni ya mtu ?
Inawezekana lakini ni Bora ukampa TU uhuru yeye akuletee hesabu Yako ya siku Huwa wanafanya kuanzia elfu 7 Hadi elfu 10...Vipi ukimpa kijana boda alafu wee ukawa unajua kwa siku kaingiza ngapi inawezekana?
Ya Tax mtandao ni elfu 35 TU na unaweza kuitengeneza ukiwa nyumbani kupitia tovuti Yao ukailipia kabisa Latra ukaenda kuchukua kadi TU...Bei gani hii
Hushauliwi kufanya hivyo Kwa usalama wako...Kwa madereva wa jiji la dar es salaam Mimi nawashauri wasiendeshe Zaidi ya speed 60Naikanda mpaka ipae
okayHushauliwi kufanya hivyo Kwa usalama wako...Kwa madereva wa jiji la dar es salaam Mimi nawashauri wasiendeshe Zaidi ya speed 60