Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

Kujiunga ni bure bure kabisa unatakiwa uwe na
✓LESENI ya udereva yenye Madaraja ya pikipiki kama unataka kuendesha piki piki au c1 kama unataka kuendesha tax
✓chombo chako kiwe na Leseni ya usafirishaji abiria inayotolewa na Latra
✓uwe na bima yoyote hata Third party
✓chombo chako kiwe na usajiri wa biashara
Umesahau LATRA Ile ya pembe nne
 
Sawa karibu ukikwama usisite kuomba ushauri
IMG-20220903-WA0004.jpg

Mie nataka mambo haya sasa hapo sii full raha.
 
Naweza kutumia leseni ya mtu ?
Hapana kata Leseni Yako ..siku hizi Wana verification ambayo itakuhitaji ujipige picha ili application ifunguke picha wanalinganisha na ya kwenye Leseni...hivyo kama muda huo mwenye Leseni yake hayupo maana yake itakulazimu umtafute ili akufungulie Kwa kujipiga yeye picha...itakua ni usumbufu haswa binadamu wenyewe awatabiliki unaweza ukagombana nae akakataa kukufungulia...ni Bora ukakata Leseni Yako kuepuka usumbufu...Leseni ya pikipiki kuipata ni Rahisi sana...​
 
Back
Top Bottom