Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

Umesahau LATRA Ile ya pembe nne
 
Naweza kutumia leseni ya mtu ?
Hapana kata Leseni Yako ..siku hizi Wana verification ambayo itakuhitaji ujipige picha ili application ifunguke picha wanalinganisha na ya kwenye Leseni...hivyo kama muda huo mwenye Leseni yake hayupo maana yake itakulazimu umtafute ili akufungulie Kwa kujipiga yeye picha...itakua ni usumbufu haswa binadamu wenyewe awatabiliki unaweza ukagombana nae akakataa kukufungulia...ni Bora ukakata Leseni Yako kuepuka usumbufu...Leseni ya pikipiki kuipata ni Rahisi sana...​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…