Ah aha ha aha ha ha!! Nimecheeka saana. Kwani mchawi JF si anajulikana? Basi sawa.Simpend yule mchawi na mlogaji mwenye kujitanabaisha na kujitukuza kwa kujitutumua ilihali kichwani ni mwehu mwenye gonorea isiyotibika akisubiri kufa mda wowote.
Mxxxxxuuuuuu, ptuuuuuuu
@Elitwege nae katajwa sana humu atakuwa mzigo saana huyu.Mie nimejikuta simpend mtu anayewasema vby masingle mamaz...lakini huyo huyo kwenye baadhi ya nyuz anamuapriciate mazake zaidi kuliko mdingi...huwa nashangaa sana..(wanaume wengi sana hasa hapa tz mama zao ndo wamehustle kuwalea..lakini akija huku anawaponda s8ngle mama)shame on u
Na wale wanaoshobokea ccm km wamekatwa vichwa!
1.Elitwege
@Elitwege nae katajwa sana humu atakuwa mzigo saana huyu.
Kweli single mothers wanastahili heshima sana wanapitia mengi sana hadi kuwakuza watoto wao.Mie nimejikuta simpend mtu anayewasema vby masingle mamaz...lakini huyo huyo kwenye baadhi ya nyuz anamuapriciate mazake zaidi kuliko mdingi...huwa nashangaa sana..(wanaume wengi sana hasa hapa tz mama zao ndo wamehustle kuwalea..lakini akija huku anawaponda s8ngle mama)shame on u
Na wale wanaoshobokea ccm km wamekatwa vichwa!
1.Elitwege
TeheteheeeHuu ndio uanaume sio kukaa na kinyongo moyoni.
Maisha ya unafiki yamepitwa na wakati.
Natamani niwataje hata kwa majina mxiiiiuuuMie nimejikuta simpend mtu anayewasema vby masingle mamaz...lakini huyo huyo kwenye baadhi ya nyuz anamuapriciate mazake zaidi kuliko mdingi...huwa nashangaa sana..(wanaume wengi sana hasa hapa tz mama zao ndo wamehustle kuwalea..lakini akija huku anawaponda s8ngle mama)shame on u
Na wale wanaoshobokea ccm km wamekatwa vichwa!
1.Elitwege
Yumo kwa jina la mzilankendeeMimi simpendi jiwe sema humu hayumo (hisia zangu lakini)
Kuna wakati MTU watokea kumpenda MTU (sio kimapenzi) Unconditionally, that's how is going to me..mng'ato bachelor sugu Magonjwa Mtambuka Daby and the list goes on...this is life..we don't expect everyone here to be the same...tunakwaruzana,tunafundishana,tunafurahishana....siku zinasonga!
Natamani niwataje hata kwa majina mxiiiiuuu
Huyo anaejiita Dripboy ni "typical" punguani wa zao la "single mother", si unaona jinsi asivyo na adabu katika maandiko yake humu?Tafakuri ya FaiizaFoxy 4: Historia. Professor Rudolph T. Ware III ni Mohamed Said wa USA? - JamiiForums
Alama Mohamed Said ameleta mabadiliko ya historia ya Tanganyika katika medani ya Uhuru na "resistance" iliyofanywa kwa juhudi kubwa ya "Vita ya majimaji" na juhudi binafsi za na nani alikuwa Mkwawa. Historia hizo tatu kwa uchache zimetufungua macho kwa kiasi kikubwa kuelewa "role" ya wazee...www.jamiiforums.com
[quote uid=441762 name="mosabiy" post=32135632]
Issue yako ni chuki dhidi ya yake na dini yake.
Poor you. Kama ulizaliwa na kulelewa na wazazi wote wawili mshukuru Mungu[/QUOTE].Huyo anaejiita Dripboy ni "typical" punguani wa zao la "single mother", si unaona jinsi asivyo na adabu katika maandiko yake humu?
Huyo ni wale watoto ambao kila mwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie baba'ko". Mwishowe wanadhani kila mtu anaweza kuwa baba wa yeyote.
Afanaalek kufa hakuna break.
Poor you. Kama ulizaliwa na kulelewa na wazazi wote wawili mshukuru Mungu[/QUOTE]Mbona kama unaniambia mimi, akati hapo nimecopy comment ya FaizaFoxy akimtukana DripboyHuyo anaejiita Dripboy ni "typical" punguani wa zao la "single mother", si unaona jinsi asivyo na adabu katika maandiko yake humu?
Huyo ni wale watoto ambao kila mwanamme anaeingia kwao anaambiwa "mwamkie baba'ko". Mwishowe wanadhani kila mtu anaweza kuwa baba wa yeyote.
Afanaalek kufa hakuna break.
Hata kuna wanawake pia wanaodharau single mothers, angalia hiyo comment niliom-quote Khantwe ... Huyu bibi anajifanya anajua dini, lakini kazi kutukana mama za watuMie nimejikuta simpend mtu anayewasema vby masingle mamaz...lakini huyo huyo kwenye baadhi ya nyuz anamuapriciate mazake zaidi kuliko mdingi...huwa nashangaa sana..(wanaume wengi sana hasa hapa tz mama zao ndo wamehustle kuwalea..lakini akija huku anawaponda s8ngle mama)shame on u
Na wale wanaoshobokea ccm km wamekatwa vichwa!
1.Elitwege