Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Njoo utoe stress zako kistaarabu kwa anaekukera humu JF.

Mie nimejikuta simpend mtu anayewasema vby masingle mamaz...lakini huyo huyo kwenye baadhi ya nyuz anamuapriciate mazake zaidi kuliko mdingi...huwa nashangaa sana..(wanaume wengi sana hasa hapa tz mama zao ndo wamehustle kuwalea..lakini akija huku anawaponda s8ngle mama)shame on u


Na wale wanaoshobokea ccm km wamekatwa vichwa!
1.Elitwege
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kama binadamu kukwazana kupo

Kikubwa kusameheana tu
 
mwanaume kumchukia mwanaume mwenzako huu ni ushoga no offense... wanaume tunapendana sisi ni jeshi moja mtu akikuuzi mfate mwambie mchane makavu kinyongo cha nini

Haya mambo tuwaachie wanawake


Alisikika mlevi mmoja akiongea
 
Back
Top Bottom