Njooni tuambizane ukweli, Hivi wanawake wa kaskazini ni wife material kweli wa kuweka ndani kama mke au nataka kuingia choo cha kike?

Unachoogea ni point mkuu ila lisemwalo lipo, mfano ukiambiwa wasukuma ni wachafu kiasilia au wanyaturu ni malaya usikatae moja kwa moja fanya uchunguzi. Kama ilivyo sifa ya sisi watanzania ni waoga basi jua kila kabila lina kitu unique ambacho kinawatofautisha na makabila mengine. Hata warusi na waitaliano wote ni wazungu ila wanatofautiana sana.
 
Kumbe mkuu una kichwa chepesi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…