and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Bila pesa hivyo vidole virefu mnaona ni kama vijiti vya kuchomea nyama choma...Hata mwanaume akiwa na miguu mizuri anavutia...vidole virefu na kuchaasa ndefu(siyo za kufugwa)
Big brain anko, dua 🙏Anko, usihofu: Wewe oa mwanamke, kisha mtengeneze kuwa mke., haijalishi kabila, sura, rangi, nk....😎
🤣🤣 Nimecheka sanaBila pesa hivyo vidole virefu mnaona ni kama vijiti vya kuchomea nyama choma...
Hapo ndipo huwa nawaheshimu wanawake...
Hapo sawa maana ndoa hazina faida yoyote kwa Mwanaume is just ule ufahali wa kuhisi upo na mtu.Mi ni timu kataa ndoa.
Mwanamke mchafu anakera nyie,halafu awe muongo na hajui kupika.Siwasemi kwa ubaya ila Wasambaa ni wachafu sana, utofauti wao na wasukuma ni ushamba tu
Unasema mbuzi, wanachinja hadi KitimotoNasikia wanawake wa kaskazini wanachinja hadi mbuzi..
Mwanamke mwenye roho ya ujasiri kuchinja kitimoto au mbuzi huyo hapana...Unasema mbuzi, wanachinja hadi Kitimoto
Kama ni mmachame/mmeru achana nae.. kama wewe sio kabila lake au hauna experience ya watu wa huko.Ughonile..
Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.
Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.
Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam
Nawasilisha.
Safi sana, kazi ya shetani iyo.Kiufupi kipindi Bro yupo hai mwanamke alikua anatoroka anaenda kufanya umaid kwenye Bar anakaa mpaka muda ataojisikia yeye kurudi Nyumbani. Alivofariki mke aliuza kila kitu alichoachiwa na bro akaondoka na watoto kwenda kuolewa na mwanaume mwingine.
Hawana soko siku hizi, wauaji hao.Zinawapigia promosheni Dada zao za Kilimanjaro ziolewe ila ni viburi mbaya
Duh, na kidhungu tena....Future is uncertainty, everything is unknown and unknowable.
Everything is about trading we're just betting our future but we aren't sure with it since anything can happen between.
An event can be extremely likely to happen and still not happen and an even can be extremely unlikely to happen and still happen.
But we bet where we've a high probability odds staked to our favor.
None and I say none can see the future only creator who knows when we gonna die and everything that will happen in between.
Because of our ego and reason we love to create narration to feed our ego that we can foresee the future
Wapo wasambaa wakristo?Wasambaa & Wabondei
Nimekupenyezea hio ishi nayo
Usiku anaweza kuota anachinja kitimoto kumbe amekuparamia weweMwanamke mwenye roho ya ujasiri kuchinja kitimoto au mbuzi huyo hapana...
Penyewe kivipi mkuu?Kwa msukuma hapo ndo penyewe sasa
🙏🙏Hatua uliyofikia huhitaji ushauri! Wewe kama umeamua kuyaoga oga tu!
Usipuuze watasemayo watu,kama utachagua kuoa sura haya kila la kheri Mkuu.
Ukioa huko ujue ndo umepata sasaPenyewe kivipi mkuu?
Nasikia wasukuma wa mwanza,tabora na shinyanga wanatofauti hivi ni kweli? Na je ni wasukuma wa wapi ni wazuri kuoa?Ukioa
Ukioa huko ujue ndo umepata sasa