Njooni tuambizane ukweli, Hivi wanawake wa kaskazini ni wife material kweli wa kuweka ndani kama mke au nataka kuingia choo cha kike?

Njooni tuambizane ukweli, Hivi wanawake wa kaskazini ni wife material kweli wa kuweka ndani kama mke au nataka kuingia choo cha kike?

Ughonile..

Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.

Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.

Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam

Nawasilisha.
Kama ni mmachame/mmeru achana nae.. kama wewe sio kabila lake au hauna experience ya watu wa huko.
 
Kiufupi kipindi Bro yupo hai mwanamke alikua anatoroka anaenda kufanya umaid kwenye Bar anakaa mpaka muda ataojisikia yeye kurudi Nyumbani. Alivofariki mke aliuza kila kitu alichoachiwa na bro akaondoka na watoto kwenda kuolewa na mwanaume mwingine.
Safi sana, kazi ya shetani iyo.
 
Future is uncertainty, everything is unknown and unknowable.
Everything is about trading we're just betting our future but we aren't sure with it since anything can happen between.

An event can be extremely likely to happen and still not happen and an even can be extremely unlikely to happen and still happen.
But we bet where we've a high probability odds staked to our favor.
None and I say none can see the future only creator who knows when we gonna die and everything that will happen in between.
Because of our ego and reason we love to create narration to feed our ego that we can foresee the future
Duh, na kidhungu tena....
Mbona hatari sasa, au ndo msisitizo....!
 
Back
Top Bottom