Njooni tuambizane ukweli, Hivi wanawake wa kaskazini ni wife material kweli wa kuweka ndani kama mke au nataka kuingia choo cha kike?

Njooni tuambizane ukweli, Hivi wanawake wa kaskazini ni wife material kweli wa kuweka ndani kama mke au nataka kuingia choo cha kike?

Ughonile..

Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.

Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.

Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam

Nawasilisha.
Wakati wa kumdinya unamuona mzuri ukifika wakati wa kumtwaa unaanza kuleta visingizio
 
Leo ni mwezi Novemba ndoa ni Juni mwakani? Na ukute mna miaka 2+ kwenye ucbumba. Yaani huo mda wote mnakuwa mnapanga namna ya kuoana kiaje yaani? Uchumba mwingine ni majaribu tu. Miezi sita inatosha kuonana na binti, kukubaliana na kuoa. Muda ukiwa mwingi ni lawama mnataftiana tu
 
Leo ni mwezi Novemba ndoa ni Juni mwakani? Na ukute mna miaka 2+ kwenye ucbumba. Yaani huo mda wote mnakuwa mnapanga namna ya kuoana kiaje yaani? Uchumba mwingine ni majaribu tu. Miezi sita inatosha kuonana na binti, kukubaliana na kuoa. Muda ukiwa mwingi ni lawama mnataftiana tu
Miezi sita ni kwa mzembe .... ..Mwanaume mwenye akili zinazofanya kazi ni miezi mitatu tu or less
 
Ughonile..

Nikiri tu kuwa mchakato wa kupata mwanamke sahihi wa kuoa ni mgumu sana na unaelekea kunishinda.

Mpaka sasa nmetokea kuwa na nyota ya kuwa na wadada wengi kwenye mahusiano wa iyo kanda pendwa kwa wanaume na nmetokea kudata kwa binti mmoja wa Marangu na tunapoelekea ni kwenye ndoa maana tushatambulishana kilichobaki ni mahari na tumepanga kufunga ndoa mwakani mwezi wa 6 panapo majaliwa ya mwenyezi Mungu.

Before niingie kwenye hii jela ya kuridhia naomba kwa wale waliooa kwenye iyo kanda watupe uzoefu tafadhali maana wanaongoza kwa kusemwa vibaya kila siku ila ndo wanaongoza kuolewa hapa Daslam

Nawasilisha.
Wewe unaoa wakaskazini wote au mmarangu mmoja,jiandae tutakuuwa wewe ukishapata mfanikio 🤣🤣🤣🤣alfu kama unawasiwasi unaoa ili nini sasa....sijui nilikuwa nataka kusema nini 🙄😂😂😂
 
Wewe unaoa wakaskazini wote au mmarangu mmoja,jiandae tutakuuwa wewe ukishapata mfanikio 🤣🤣🤣🤣alfu kama unawasiwasi unaoa ili nini sasa....sijui nilikuwa nataka kusema nini 🙄😂😂😂
Wasiwasi ndo akili
 
Back
Top Bottom