kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nani anaumia we utopolo?
Au unasoma msg za fb na insta ndio unajidanganya ni wana Simba hao?
Mbona wengi ni wauza papuchi tu wanajisemea tu wanavyojisikia!
Wana Simba wa kweli wamefurahi tu kwani wameamini maneno ya viongozi wao yalikuwa kweli
Au unasoma msg za fb na insta ndio unajidanganya ni wana Simba hao?
Mbona wengi ni wauza papuchi tu wanajisemea tu wanavyojisikia!
Wana Simba wa kweli wamefurahi tu kwani wameamini maneno ya viongozi wao yalikuwa kweli
Naona wanasimba tumepanic kipuuzi kisa Manara kuhamia Yanga. Hakuna kitu kipya.
Ukweli ni kuwa, Manara amekuwa mwajiriwa wa GSM kwa miaka kadhaa, GSM ndio wafadhili wa Yanga, na leo GSM wamempangia kazi pale Jangwani.
Pili Manara alishaondolewa Simba, hana mkataba na Simba, leo amekwenda Yanga kama mtu huru. Anapambana na maisha yake, tusiumie sana.