Njooni wataalam wa soka tuichambue mechi ya Yanga Vs Al- Hilal

Njooni wataalam wa soka tuichambue mechi ya Yanga Vs Al- Hilal

Yanga inamatatizo mengi ya kiuchezaji ila kwa sababu ligi yetu haina timu zenye ubora wa kuiadhibu ndio huwa hawaadhibiwi.

1.Matatizo sehemu ya mabeki
Bangala licha ya ubora wake hana kasi hasa ikitokea kaunta.Pili Dickson Job ni mfupi hii ni hatari unapokutana na wachezaji warefu km wa Al hilal. Tatu,upande wa kulia Juma Shabani kuna mda anapanda sana na mbaya zaidi huwa anapoteza mipira kirahisi akiwa juu na kuhatarisha eneo la ulinzi.Nne upande wa kushoto bado kocha hajapata beki halisi. Kibwana ni beki mzuri lakini hawezi kushambulia hasa kupiga krosi kwa mguu wa kushoto. Leo mechi nzima km sijakosea hajapiga krosi hata moja.

2. Eneo la katikati
Aucho licha ya kuwa na uwezo mzuri wa kumiliki mpira anachangamoto ya kukosa speed kwa kuipeleka timu mbele au kuwahi kuzuia pindi timu inashambuliwa. Pili anacheza ki-father sana.

3. Pembeni upande wa kulia.
Moloko na Kisinda wote ni wakimbiaji lakini akili ya mpira ni ndogo. Wanahitajika mawinga wenye sifa km za Morrison.

4. Upande kushoto kwa Morrison
Kiuchezaji bado kocha hajui namna nzuri ya kumtumia. Morrison anapenda mpira wa kushambulia kwa kasi kwa staili ya nipe nikupe. Mara nyingi alikuwa anapewa mipira na kuachwa peke ake.

5. Mayele.
Jamaa anajua ila kuna muda anazidisha ubinafsi. Kwenye mechi za kimataifa lazima wachezaji mcheze kitimu na kimipango zaidi kuliko mtu mmoja mmoja.

6.Yanga inakosa Sharpness.
Sijui kwanini wachambuzi wengi hawalizungumzii hili tatizo. Yanga maranyingi wanacheza game zao kwa Temper ya chini na hawana Sharpness na uharaka wa pasi na maamuzi. Kwenye mechi kubwa Sharpness ni sifa muhimu sana.

7. Kocha Nabi.
Hana plan B pindi mbinu ya awali ikigoma. Kiuchezaji Yanga inatabirika sana. Diara ataanza mpira kwa Dickson Job,Job atampa Bangala. Bangala atampa Aucho na baadae kwa Juma Shabani. Juma ataurudisha kwa Diara ambae ataupiga mpira mbele.Pattern ya uchezaji ni ile ile mwanzo mwisho. Yanga wanaongeza kasi kidogo pale tu wanapovuka mstari wa katika. Kwa staili ya namna hii ni rahisi timu pinzani kuwazuia.
 
Yanga inamatatizo mengi ya kiuchezaji ila kwa sababu ligi yetu haina timu zenye ubora wa kuiadhibu ndio huwa hawaadhibiwi.

1.Matatizo sehemu ya mabeki
Bangala licha ya ubora wake hana kasi hasa ikitokea kaunta.Pili Dickson Job ni mfupi hii ni hatari unapokutana na wachezaji warefu km wa Al hilal. Tatu,upande wa kulia Juma Shabani kuna mda anapanda sana na mbaya zaidi huwa anapoteza mipira kirahisi akiwa juu na kuhatarisha eneo la ulinzi.Nne upande wa kushoto bado kocha hajapata beki halisi. Kibwana ni beki mzuri lakini hawezi kushambulia hasa kupiga krosi kwa mguu wa kushoto. Leo mechi nzima km sijakosea hajapiga krosi hata moja.

2. Eneo la katikati
Aucho licha ya kuwa na uwezo mzuri wa kumiliki mpira anachangamoto ya kukosa speed kwa kuipeleka timu mbele au kuwahi kuzuia pindi timu inashambuliwa. Pili anacheza ki-father sana.

3. Pembeni upande wa kulia.
Moloko na Kisinda wote ni wakimbiaji lakini akili ya mpira ni ndogo. Wanahitajika mawinga wenye sifa km za Morrison.

4. Upande kushoto kwa Morrison
Kiuchezaji bado kocha hajui namna nzuri ya kumtumia. Morrison anapenda mpira wa kushambulia kwa kasi kwa staili ya nipe nikupe. Mara nyingi alikuwa anapewa mipira na kuachwa peke ake.

5. Mayele.
Jamaa anajua ila kuna muda anazidisha ubinafsi. Kwenye mechi za kimataifa lazima wachezaji mcheze kitimu na kimipango zaidi kuliko mtu mmoja mmoja.

6.Yanga inakosa Sharpness.
Sijui kwanini wachambuzi wengi hawalizungumzii hili tatizo. Yanga maranyingi wanacheza game zao kwa Temper ya chini na hawana Sharpness na uharaka wa pasi na maamuzi. Kwenye mechi kubwa Sharpness ni sifa muhimu sana.

7. Kocha Nabi.
Hana plan B pindi mbinu ya awali ikigoma. Kiuchezaji Yanga inatabirika sana. Diara ataanza mpira kwa Dickson Job,Job atampa Bangala. Bangala atampa Aucho na baadae kwa Juma Shabani. Juma ataurudisha kwa Diara ambae ataupiga mpira mbele.Pattern ya uchezaji ni ile ile mwanzo mwisho. Yanga wanaongeza kasi kidogo pale tu wanapovuka mstari wa katika. Kwa staili ya namna hii ni rahisi timu pinzani kuwazuia.
Uchambuzi mzuri sana huu.
 
Yanga inamatatizo mengi ya kiuchezaji ila kwa sababu ligi yetu haina timu zenye ubora wa kuiadhibu ndio huwa hawaadhibiwi.

1.Matatizo sehemu ya mabeki
Bangala licha ya ubora wake hana kasi hasa ikitokea kaunta.Pili Dickson Job ni mfupi hii ni hatari unapokutana na wachezaji warefu km wa Al hilal. Tatu,upande wa kulia Juma Shabani kuna mda anapanda sana na mbaya zaidi huwa anapoteza mipira kirahisi akiwa juu na kuhatarisha eneo la ulinzi.Nne upande wa kushoto bado kocha hajapata beki halisi. Kibwana ni beki mzuri lakini hawezi kushambulia hasa kupiga krosi kwa mguu wa kushoto. Leo mechi nzima km sijakosea hajapiga krosi hata moja.

2. Eneo la katikati
Aucho licha ya kuwa na uwezo mzuri wa kumiliki mpira anachangamoto ya kukosa speed kwa kuipeleka timu mbele au kuwahi kuzuia pindi timu inashambuliwa. Pili anacheza ki-father sana.

3. Pembeni upande wa kulia.
Moloko na Kisinda wote ni wakimbiaji lakini akili ya mpira ni ndogo. Wanahitajika mawinga wenye sifa km za Morrison.

4. Upande kushoto kwa Morrison
Kiuchezaji bado kocha hajui namna nzuri ya kumtumia. Morrison anapenda mpira wa kushambulia kwa kasi kwa staili ya nipe nikupe. Mara nyingi alikuwa anapewa mipira na kuachwa peke ake.

5. Mayele.
Jamaa anajua ila kuna muda anazidisha ubinafsi. Kwenye mechi za kimataifa lazima wachezaji mcheze kitimu na kimipango zaidi kuliko mtu mmoja mmoja.

6.Yanga inakosa Sharpness.
Sijui kwanini wachambuzi wengi hawalizungumzii hili tatizo. Yanga maranyingi wanacheza game zao kwa Temper ya chini na hawana Sharpness na uharaka wa pasi na maamuzi. Kwenye mechi kubwa Sharpness ni sifa muhimu sana.

7. Kocha Nabi.
Hana plan B pindi mbinu ya awali ikigoma. Kiuchezaji Yanga inatabirika sana. Diara ataanza mpira kwa Dickson Job,Job atampa Bangala. Bangala atampa Aucho na baadae kwa Juma Shabani. Juma ataurudisha kwa Diara ambae ataupiga mpira mbele.Pattern ya uchezaji ni ile ile mwanzo mwisho. Yanga wanaongeza kasi kidogo pale tu wanapovuka mstari wa katika. Kwa staili ya namna hii ni rahisi timu pinzani kuwazuia.
Umechambua vizur Sana mkuu, lakin Mayele nae bado sio bora Sana kweny masndano ya kimataifa, Hana accuracy kabisa, yaan anafanya makosa meng mno ya kumaliza, angekuwa striker mzur leo angepata hata magoli matatu
 
I think the main causes for Yanga to fail to score many goals is Lack of experience with internation matches, most of Yang"s player they did not get the chance to play with internatioa maches,eg Mayele he usually play with players with low experience!!!
I can conclude that Mayele is a very Weak Striker since in our Plimier ligue he score many goals in wrong way, the refrees they accept this kind of goals due to corruption to be exist in our primier ligue!!!
I think the main causes for Yanga to fail to score many goals is Lack of experience with internation matches, most of Yang"s player they did not get the chance to play with internatioa maches,eg Mayele he usually play with players with low experience!!!
I can conclude that Mayele is a very Weak Striker since in our Plimier ligue he score many goals in wrong way, the refrees they accept this kind of goals due to corruption to be exist in our primier ligue!!!
I think the main causes for Yanga to fail to score many goals is Lack of experience with internation matches, most of Yang"s player they did not get the chance to play with internatioa maches,eg Mayele he usually play with players with low experience!!!
I can conclude that Mayele is a very Weak Striker since in our Plimier ligue he score many goals in wrong way, the refrees they accept this kind of goals due to corruption to be exist in our primier ligue!!!
Poor English
 
Ninachojua mayele anaenda kufunga sudani,kingine nadhani nje ya uwanja Yanga wapo weak,game kama hii ya leo lines man anakataaje goli kama lile,kama uliangalia game ya al hilal na st george lile goli la al hilal walilopata kule kwao ndio utajua namaanisha nini,hata simba lile goli alikataliwi hapa taifa
 
Ninachojua mayele anaenda kufunga sudani,kingine nadhani nje ya uwanja Yanga wapo weak,game kama hii ya leo lines man anakataaje goli kama lile,kama uliangalia game ya al hilal na st george lile goli la al hilal walilopata kule kwao ndio utajua namaanisha nini,hata simba lile goli alikataliwi hapa taifa
Mkiambiwa mjifunze kwa Simba mnaaza kutukana, haya sasa baba jeni bai bai

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Ninachojua mayele anaenda kufunga sudani,kingine nadhani nje ya uwanja Yanga wapo weak,game kama hii ya leo lines man anakataaje goli kama lile,kama uliangalia game ya al hilal na st george lile goli la al hilal walilopata kule kwao ndio utajua namaanisha nini,hata simba lile goli alikataliwi hapa taifa
No sense
 
Kilicho tugharimu Yanga ni kucheza Kwa tahadhari kubwa na kufanya tusiwashambulie Kwa Kasi iliyo zoeleka, Hali iyo ikawapa nguvu Al Hilal wakacheza Kwa kujiamini sana.
Faida tutakayopata mechi ya marudiano, Tutashambulia full scale nawao watatushambulia Kwa nguvu, mwenye safu Bora ya mashambulizi ataibuka mshindi.
Siioni Yanga ikifungwa kwenye hatua hizi za awali labda kuanzia kwenye Makundi ya Caf champion league.
Una uhakika hujavuta bangi?
 
Kilicho tugharimu Yanga ni kucheza Kwa tahadhari kubwa na kufanya tusiwashambulie Kwa Kasi iliyo zoeleka, Hali iyo ikawapa nguvu Al Hilal wakacheza Kwa kujiamini sana.
Faida tutakayopata mechi ya marudiano, Tutashambulia full scale nawao watatushambulia Kwa nguvu, mwenye safu Bora ya mashambulizi ataibuka mshindi.
Siioni Yanga ikifungwa kwenye hatua hizi za awali labda kuanzia kwenye Makundi ya Caf champion league.

Mkishinda kwao niite mbwa..kabisaaa..Kwa kifupi goli la ugenini HALIKUTAKIWA
 
Kilicho tugharimu Yanga ni kucheza Kwa tahadhari kubwa na kufanya tusiwashambulie Kwa Kasi iliyo zoeleka, Hali iyo ikawapa nguvu Al Hilal wakacheza Kwa kujiamini sana.
Faida tutakayopata mechi ya marudiano, Tutashambulia full scale nawao watatushambulia Kwa nguvu, mwenye safu Bora ya mashambulizi ataibuka mshindi.
Siioni Yanga ikifungwa kwenye hatua hizi za awali labda kuanzia kwenye Makundi ya Caf champion league.
Na ujue leo ndiyo wamejifungulia mlango wa kutoka kwenye CAF CL .
 
Kosa kubwa walilofanya Yanga ni kuruhusu lile goli na itawagharimu sana kwenye mechi ya marudiano.
 
Yanga hawezi kufungwa na Al hilal, Yanga anaingia Makundi kibabe.
 
Kilicho tugharimu Yanga ni kucheza Kwa tahadhari kubwa na kufanya tusiwashambulie Kwa Kasi iliyo zoeleka, Hali iyo ikawapa nguvu Al Hilal wakacheza Kwa kujiamini sana.
Faida tutakayopata mechi ya marudiano, Tutashambulia full scale nawao watatushambulia Kwa nguvu, mwenye safu Bora ya mashambulizi ataibuka mshindi.
Siioni Yanga ikifungwa kwenye hatua hizi za awali labda kuanzia kwenye Makundi ya Caf champion league.
Mjiandae na confederation cup
 
Back
Top Bottom