KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Msimu huu tangu tuanze kumchezesha Yanick 5,matatizo yamekuwa mengi sana.Umeandka point Sana mkuu, kocha nae anaonekana hana mbinu na ujanja wa kutosha kweny mech za kimataifa
KOLOWIZARD lilishajijua kuwa halijui lolote kuhusu lugha ya Malkia, ndiyomaana limefuta huo ujumbe pumba wa kiingereza [emoji4]Andika Kiswahili mjomba, hii lugha Ina wenyewe. Hebu rudia kusoma ulichoandika ndiyo utajuwa kumbe hujui.
Mkuu waarabu wa Azam wapo vizuri kweli? Maana naona Azama kachezea za mbavuWajiandae tu na confederation Ila washatoka. Confederation mwenyewe waombe wasipangiwe na waarabu.
Ww ndo ulete hyo source sasa kama ipo unayo haki hyo ila hayo ni maoni yangu mimi binafsiHii ni plagiarism au ni comment yako!!??
pls acknowledge the source
Kwa uto na Azam Yule mwarabu yupo vizuri.Mkuu waarabu wa Azam wapo vizuri kweli? Maana naona Azama kachezea za mbavu