Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Teh teh teh eti Viwanja vya Mkoani anafunga balaa. Tunawajua nyie hamtachelewa kumkataa.Mpya huyu mbadala wa Bwalya fundi anafunga balaa
Yaani huyu Bora uwanja wa Taifa maana viwanja vibovu Kama Mkwakwani ndo anafunga kwa sifaView attachment 1131568