huamini kuwa itatokea hivyo?Akifunguliwa iyo kesi nachoma vyeti vyangu kuanzia Cha kuzaliwa,,ubatizo ,kipa imara, Cha darasa la sana,form 4 ,form 6, degree,mpka vyeti vya clab kama mali hai,PCCB, yaan vyeti vyote
Kosa la hao ni kujaribu kuchoma nyumba moto na siyo kuua wala kujaribu kuua na hata kesi itafunguliwa hiyo kujaribu kuchoma makazi, Kujaribu kuchoma moto makazi na kuchoma makazi ni makosa mawili tofauti na hukumu zake ni tofauti moja hukumu yake ni kifungo cha maisha nyingine ni kifungo cha miaka 14 jela.Murder na intention to murder vina tofauti?
Legally mtuhumiwa si anaweza kushtakiwa kwa kuonyesha nia ya kutaka kufanya uovu?Kosa la hao ni kujaribu kuchoma nyumba moto na hata kesi itafunguliwa hiyo na haitafunguliwa kuwa ni kujaribu kuua, Kujaribu kuchoma moto makazi na kuchoma makazi ni makosa mawili tofauti na hukumu zake ni tofauti moja hukumu yake ni kifungo cha maisha nyingine ni kifungo cha miaka 14 jela.
Kasome Sect 319&320 cap 16 R.E 2022
Wanatumiwa wakawaue ndugu zao na wanakubali..Watoto wa masikini wanatumika kijinga sana nchii hii
Mkuu nyumba ikiwa inachomwa ikiwa na watu ndani nadhani kesi itakua tofauti brother...Kosa la hao ni kujaribu kuchoma nyumba moto na siyo kuua wala kujaribu kuua na hata kesi itafunguliwa hiyo kujaribu kuchoma makazi, Kujaribu kuchoma moto makazi na kuchoma makazi ni makosa mawili tofauti na hukumu zake ni tofauti moja hukumu yake ni kifungo cha maisha nyingine ni kifungo cha miaka 14 jela.
Kasome Sect 319&320 cap 16 R.E 2022
Huwezijua labda walitoa ushirikiano mkubwa kwa Mlengwa.Hayo mafuta waliyobeba yangekutumika dhidi yao.
Iwe fundisho kwa wwngine kama hao
Kazi ipoDuuh aiseee
Kumbe unadhani? Sheria haina kudhani ndo maana makosa yamebainishwa kwenye penal codeMkuu nyumba ikiwa inachomwa ikiwa na watu ndani nadhani kesi itakua tofauti brother...
Walidhamiria kuua kwa kukusudiaMkuu nyumba ikiwa inachomwa ikiwa na watu ndani nadhani kesi itakua tofauti brother...
Ndiyo anashtakiwa ndo maana nikasema hao watashtakiwa kwa kosa la Kujaribu kuchoma makaziLegally mtuhumiwa si anaweza kushtakiwa kwa kuonyesha nia ya kutaka kufanya uovu?
Nafeli kuona inaposema ni bailable offense.Kosa la hao ni kujaribu kuchoma nyumba moto na siyo kuua wala kujaribu kuua na hata kesi itafunguliwa hiyo kujaribu kuchoma makazi, Kujaribu kuchoma moto makazi na kuchoma makazi ni makosa mawili tofauti na hukumu zake ni tofauti moja hukumu yake ni kifungo cha maisha nyingine ni kifungo cha miaka 14 jela.
Kasome Sect 319&320 cap 16 R.E 2022
Ni makada wa chama afu tena ni mashabiki wa utopolo, hawa Yanga ni wakorofi sana
Ikiwa itaweza kua proved strength of the guilty (attempt to set a house on fire huku ndani kuna watu) hii ni bailable?Ndiyo anashtakiwa ndo maana nikasema hao watashtakiwa kwa kosa la Kujaribu kuchoma makazi
Mimi ndiyo ninavyojuaMkuu nyumba ikiwa inachomwa ikiwa na watu ndani nadhani kesi itakua tofauti brother...
???????!!!!Where are going as a country?
Kujaribu kuchoma nyumba moto ina dhamanaIkiwa itaweza kua proved strength of the guilty (attempt to set a house on fire huku ndani kuna watu) hii ni bailable?
Mkuu usishangae amejitahidi mno mno..???????!!!!
Anyway, mimi siyo mwanasheria. Kozi ilikua na viwili vitatu tu kuhusu sheria so kama wewe ni mwanasheria utakua unajua zaidi.Kujaribu kuchoma nyumba moto ina dhamana