Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Nimefatilia kwa undani sana huu mdahalo wa TLS election candidates, na namfahamu sana nkuba na bwana boniface mwabukusi.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.
Nkuba ana uwezo wa kuwa kiongozi. Hata akishindwa TLS, huyu bwana tunamuhitaji katika medani ya siasa ya taifa.
Kuna muda hatuhitaji watu harsh tunahitaji watendaji, nchi kama Tanzania si nchi kama inatafuta uhuru, ni nchi inahitaji maendeleo na watu smart. Makosa yapo. Ila sitomuhukumu sweetbert.
He is Far better for Tanzania. ASANTE.