mika micah
Senior Member
- Dec 25, 2015
- 183
- 277
- Thread starter
- #21
Nilipokea message ya 50k, sikupokea ya 100k nyingineKwanamna ulivyoeleza yawezekana mchezo umefanyika kwa wakala. Vipi hukupokea msg hapohapo kabla ya kutoka kwa wakala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipokea message ya 50k, sikupokea ya 100k nyingineKwanamna ulivyoeleza yawezekana mchezo umefanyika kwa wakala. Vipi hukupokea msg hapohapo kabla ya kutoka kwa wakala?
Noted boss... ngoja niamke nao asubuhiKomaa Mzee pesa inarudi hiyo kwani wewe si unajua wakala uliyetoa na hata wao nmb wanaweza kukutajia hiyo laki unusu imetokea kwa wakala gani kampe mbasi aseme Kwa Nini anatoa pesa zako nyingii alafu anakupa chache nyingine anapeleka wapi ?
Kama unayo msg na karatasi ya risti kutoka kwa wakala nanda navy bank kama kielelezo.Nilipokea message ya 50k, sikupokea ya 100k nyingine
Sitoi pesa kwa wakala Bora nife njaa wanamichezo michafu Sana na sie wengine hasira zipo mfuko wa shati twaweza kwenda magereza kiuzembe uzembeBora Uende Kwa ATM Hao Hawafai Kumbe Wazuia Notifications
Naomb msaada email yao boss
Michezo gani sasa. Usikaririshwe vitu na wewe ukaenda kama zobaSitoi pesa kwa wakala Bora nife njaa wanamichezo michafu Sana na sie wengine hasira zipo mfuko wa shati twaweza kwenda magereza kiuzembe uzembe
Ndio maana mm sitoi pesa kwa wakala na wala sifukirii kuja kufanya hivyo.Kama wapo nisaidieni kuwatag.
Nilikuwa na 250k kwenye account yangu jana saa 9 nikatoa 50k kwa wakala. Leo kuangalia salio nimebakiwa ba 89k.
Wenu mtiifu katika ujenzi wa taifa,
Tumia ATM kwa dharura epuka mawakalaNawatahadharisha tuu msije kulia kama mimi
Chukua Bank statement online (Kwa kutumia NMB app) au katika tawi la benki. Nenda Kwa wakala uliyetoa Pesa kwake kisha mueleze kila kitu Kwa kutumia Bank statement hiyo.Noted boss... ngoja niamke nao asubuhi
Vyote ninavyo Kaka. Kesho naenda navyoKama unayo msg na karatasi ya risti kutoka kwa wakala nanda navy bank kama kielelezo.
Hili tatizo ni kama langu lkn mm niliingia fb kwenye page Yao nikawaka hatari wakalitatua tatzo langu mapema. Lkn kwenye tawi ilkuwa ni blaa blaa tu.Niliwah kuzungushwa week nzima na Afisa mikopo wa NMB
Nikawachek HQ kupitia email address hii tuambie@nmbbank.co.tz Mambo yakawa saaafi ndani ya masaa 6 Tu.
Aliyekuibia ni wakala huu mchezo upo sana kwaoNawatahadharisha tuu msije kulia kama mimi
Tulia wewe tulambe asali wewe hupendi kulamba asali?Kila kona nchi imejaa ulanguzi kuanzia ikulu mpaka uswekeni
Huu usenge NMB wanaufanya Sana tena Sana na Muda wanafanya hivi NMB Wakala ni Kipengele hata Mimi yamenikuta haya ukijaribu kutoa wanafyeka zaidi ya kile alichotoa alafu hizi Jaribu goma Jaribu goma washenzi wanakata kishenzi wakiona huna wanaweka Deni ukiweka Pesa wanafyeka NMB wasengekisenge4. Ukiweza usitumie NMB wakala kutoa pesa zako. Nimewahi kusikia lalamiko kama hili mahali kwingine kwamba mtandao ulikuwa unasumbua wakala akajaribu maraka ya kwanza mara ya pili mara ya tatu zote zinagoma. Jamaa kuja kuangalia kesho yake hela ndefu imeenda.
Wakala ataiba km atakua na kadi ya mhusika Ila kadi ikichomolewa anaibaje? NMB ndio wanaofanya huo usenge SIO Wakala NMB Wakala ukiweka hela utafurahia magoli ukitoa ikagoma ukatoa ikagoma ukatoa ikagoma m'mae subiria magoli unajikuta umepigwa parefu HUU ni usengekisengeAliyekuibia ni wakala huu mchezo upo sana kwao
Cha kufanya nenda bank kaombe statement
Inaonesha kila kitu utamkamata mwizi wako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dawa ni kuchukua bank statement inaonesha kila kituWakala ataiba km atakua na kadi ya mhusika Ila kadi ikichomolewa anaibaje? NMB ndio wanaofanya huo usenge SIO Wakala NMB Wakala ukiweka hela utafurahia magoli ukitoa ikagoma ukatoa ikagoma ukatoa ikagoma m'mae subiria magoli unajikuta umepigwa parefu HUU ni usengekisenge