NMB BANK sio muda mtaitwa wezi

NMB BANK sio muda mtaitwa wezi

Wewe umejichanganya mwenyewe, fuatilia vizuri kwa wakala ulikotoa hiyo pesa
Hawa Mawakala wa kike tunawaheshimu sana Mimi siku nikibaini mmama au Mdada kaiba Pesa yangu kwa kile kimkebe hakuna kupelekana Polisi wala kufikishana Bank tunamalizana mulemule kibandani anafunga kibanda namgonga kwanza alafu naenda zangu, m'mae zao tumechoka kuibiwa
 
Unataka kumuibia na wewe?
Wazee wa kulamba asali
Daaah bongo nyoso kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nasemaje Hawa wadada na wamama Mawakala wa NMB siku nikigundua TU kaniibia yaan nikigundua kaniibia na kile kimkebe kma'make HIO Pesa atailipia kwa njia nyingine lazima nimgonge yaan nna hasira za Muda mrefu, kuna kamama nikienda na Card kidogo ingiza tena password hii imekataa kidogo tena ingiza tena password hii imekataa nikija kucheck Pesa baadae nakuta pungufu sababu ya u-busy napuuzia kumbe washenzi wanaiba humo HUMO siku yao inakuja
 
Back
Top Bottom