mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Focal wa TBWewe umejichanganya mwenyewe, fuatilia vizuri kwa wakala ulikotoa hiyo pesa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Focal wa TBWewe umejichanganya mwenyewe, fuatilia vizuri kwa wakala ulikotoa hiyo pesa
Moderator huyu anatukana.Ndiyo maadili tuliyobaki nayo?Umefirwa Mara ya Mwisho lini na huyo bwana wako aliekuoa?
Hawa Mawakala wa kike tunawaheshimu sana Mimi siku nikibaini mmama au Mdada kaiba Pesa yangu kwa kile kimkebe hakuna kupelekana Polisi wala kufikishana Bank tunamalizana mulemule kibandani anafunga kibanda namgonga kwanza alafu naenda zangu, m'mae zao tumechoka kuibiwaWewe umejichanganya mwenyewe, fuatilia vizuri kwa wakala ulikotoa hiyo pesa
Unataka kumuibia na wewe?Njoo inbox na details za kutosha
Jibu swali wewe acha kuomba msaada wa moderatorModerator huyu anatukana.Ndiyo maadili tuliyobaki nayo?
Nisaidie kujibu.Jibu swali wewe acha kuomba msaada wa moderator
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nasemaje Hawa wadada na wamama Mawakala wa NMB siku nikigundua TU kaniibia yaan nikigundua kaniibia na kile kimkebe kma'make HIO Pesa atailipia kwa njia nyingine lazima nimgonge yaan nna hasira za Muda mrefu, kuna kamama nikienda na Card kidogo ingiza tena password hii imekataa kidogo tena ingiza tena password hii imekataa nikija kucheck Pesa baadae nakuta pungufu sababu ya u-busy napuuzia kumbe washenzi wanaiba humo HUMO siku yao inakujaUnataka kumuibia na wewe?
Wazee wa kulamba asali
Daaah bongo nyoso kweli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Achana na mimiNisaidie kujibu.
Kwani umekula kuni?Achana na mimi
We ndiyo umeulizwa
Au unataka na mimi ni teme Moto?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ushafirwa Jana na huyo bwana wako aliekuoa? Unaogopa Nini kujibu Si umetaka mwenyewe nilikwambia nikitema natema MOTO unaungua?Nisaidie kujibu.
@moderators,is this how we do?Ushafirwa Jana na huyo bwana wako aliekuoa? Unaogopa Nini kujibu Si umetaka mwenyewe nilikwambia nikitema natema MOTO unaungua?
Sawasawa.
Wakulipe na gharama za usumbufuVyote ninavyo Kaka. Kesho naenda navyo
Usishobokee wasioshobokewa unaleta Mdomo wa ovyo kwa usiowajua utaungua shauri yako alafu nimekuheshimu Ila punguza UTOTO@moderators,is this how we do?
Hauwajui NMB wewe hio Pesa ya usumbufu waitoe kwenye account yako au?Wakulipe na gharama za usumbufu
Kwa hiyo unataka tujibishane mimi na wewe?Usishobokee wasioshobokewa unaleta Mdomo wa ovyo kwa usiowajua utaungua shauri yako alafu nimekuheshimu Ila punguza UTOTO
Usiniguse tena nitakutembezea MOTO mpaka ujute kunifahamuSawasawa.
Nimeshakupa ONYO endelea kujifanya HAUELEWIKwa hiyo unataka tujibishane mimi na wewe?