mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Ukichukua statement angalia tarehe na muda pesa imetoka na sehemuVyote ninavyo Kaka. Kesho naenda navyo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukichukua statement angalia tarehe na muda pesa imetoka na sehemuVyote ninavyo Kaka. Kesho naenda navyo
Sasa mtu anakua na haraka na shughuli zake ndio maana Mimi Mawakala siwahamini kabisa tena Muda hili TATIZO nimeliona Jamaa wanaiba kishenzi kuna Mama namuheshimu siku ndio niligundua kabiia nikajiuliza Mama hadi wewe unaniibia Mimi kisa umekalia kiti cha NMB Wakala unaniibia Pesa zangu unajihamishia mwenyewe sababu wewe ni Wakala wa NMB kweli?Dawa ni kuchukua bank statement inaonesha kila kitu
Hii mambo nmeshuhudia kwa macho yangu huu mchezo naujua vzr
Wakala wanafanya hivo wakijua watu ni wazembe hawataenda kuchukua statement au kuangalia salio
Technic wanayotumia anakuambia mtandao unasumbua ingiza tena namba ya siri hapo ndiyo unaibiwa sasa
Hizi ni siri za wezi bora tuweke hapa waache hii michezo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawa ndugu mteja.Ila,umeandika kama upo high in the skyway!😂😂😂Kama wapo nisaidieni kuwatag.
Nilikuwa na 250k kwenye account yangu jana saa 9 nikatoa 50k kwa wakala. Leo kuangalia salio nimebakiwa ba 89k.
Nimepiga simu namba yao huduma niliyopata sijalizika kabisa. Kuna haja ya kuwapa training wahudumu wenu on how to troubleshoot issue na kudili na wateja.
Nimemuelezea scenario.
Akasema nimetoa laki na nusu kwa wakala saa 9. Nikamwambia mhamala nao ukumbuka ni wa 50k. akanijibu kuna mtu atakuwa ana credentials zako ametoa. Nikamwambia Card ninayo mimi mda wote akanijibu system inaonyesha umetoa laki na nusu.
Nikwauliza wapi naweza kupata msaada zaidi akanijibu hakuna msaada zaidi ya huu utakaopata maana system inaonyesha umetoa kwa wakala. Nikawambia sawa nimetoa laki na nusu kwa nini mmenitumia sms ya kutoa 50k sioni message ya 100k nyingine.
Akaniambia ni shida ya mtandao ndio maana hujapata message. Nikamuuliza kila siku napokea message hii. Huu muhamala ambao sijaona message ndio usionekane Hauoni its something strange.
Akanikatia simu.
Mytake:
1. Ni vyema kumwambia mteja unafuatilia kuliko kumjibu as if he is careless and dumb enough to share credentials with other people even if he is.
2. Don't blindly trust the systems zinatengenezwa na wanadamu na zina bugs kama zote. And possibly mawakala wamepata workaround ya kuwaibia wateja wenu so badala ya kujibu juu juu kwamba system inaonyesha jaribu kutafuta root cause of the problem.
3. Jaribuni kuwapa training customer care wenu. On how to deal with customer and troubleshoot issues. Sio mambo ya system inaonyesha! system inaonyesha!
4. Ukiweza usitumie NMB wakala kutoa pesa zako. Nimewahi kusikia lalamiko kama hili mahali kwingine kwamba mtandao ulikuwa unasumbua wakala akajaribu maraka ya kwanza mara ya pili mara ya tatu zote zinagoma. Jamaa kuja kuangalia kesho yake hela ndefu imeenda.
5. Yule dada aliye leo customer service mfukuzeni kazi kwa haraka. Anafanya hii kazi kwa kulazimishwa.
6. Huenda wengi wanakutana na hii kadhia ila huwa hawanotice kutakana na frequency ya kutumia huduma za kibank ni ndogo.
7. Pesa yangu is ipo rudi. Bora nikakatwe na CRDB.
Wenu mtiifu katika ujenzi wa taifa,
Hapo kwenye haraka ndiyo wanapapenda sasaSasa mtu anakua na haraka na shughuli zake ndio maana Mimi Mawakala siwahamini kabisa tena Muda hili TATIZO nimeliona Jamaa wanaiba kishenzi kuna Mama namuheshimu siku ndio niligundua kabiia nikajiuliza Mama hadi wewe unaniibia Mimi kisa umekalia kiti cha NMB Wakala unaniibia Pesa zangu unajihamishia mwenyewe sababu wewe ni Wakala wa NMB kweli?
Mawakala wanatuumiza sana alafu mwingine anakuibia huku anakupa na tabasamu kabisa, Mimi sijui hayo makitu ya ku-mute notifications sijui nini wao ndio wanajua kucheza na kile kimkebe Bora mara 800 uende ATM Ila ATM pia ukijichanganya unapigwa vile vileUkichukua statement angalia tarehe na muda pesa imetoka na sehemu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
SIO kwa kuiba sasa wengine ni wamama Mawakala wa NMB tunawaheshimu kabisa wanatubia ili IWEJE? Bora vijana tutasema ndio tabia zao sasa hawa wamama tusemeje? Mama kakomaa weka tena password hii imekataa ukiweka utasikia weka tena password hii imekataa kumbe anakuibia KWANINI wanafanya HIVYO?Hapo kwenye haraka ndiyo wanapapenda sasa
Ukiona mtu ameibiwa ana vitu vitatu
1. Uzembe
2. Tamaa
3. Haraka
Ukiwa na hizo sifa lazima upigwe na kit kizito utosin
Ukafie mbele huko mjini shule
Kila mtu anataka kulamba asali wewe hupendi kulamba asali?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwan mama hawana njaa,SIO kwa kuiba sasa wengine ni wamama Mawakala wa NMB tunawaheshimu kabisa wanatubia ili IWEJE? Bora vijana tutasema ndio tabia zao sasa hawa wamama tusemeje? Mama kakomaa weka tena password hii imekataa ukiweka utasikia weka tena password hii imekataa kumbe anakuibia KWANINI wanafanya HIVYO?
Kuchekesha SIO kitu cha kulamisha yaan huwezi kumlazimisha mtu acheke hata ukijichekesha km hataki kucheka na weweSawa ndugu mteja.Ila,umeandika kama upo high in the skyway!😂😂😂
No ATM hakuna huo ujingaMawakala wanatuumiza sana alafu mwingine anakuibia huku anakupa na tabasamu kabisa, Mimi sijui hayo makitu ya ku-mute notifications sijui nini wao ndio wanajua kucheza na kile kimkebe Bora mara 800 uende ATM Ila ATM pia ukijichanganya unapigwa vile vile
Hawa wamama NDIO tunawaonea huruma Mimi siku nikimtaitisha anaiba Si nitamgongea mulemule kibandani kupozea machungu yangu, sipendi UJINGAKwan mama hawana njaa,
Hawapendi kula bata
Hawatak vitu vizur
Mbona wakiwaibia kwa kuwapa papuchino hampigi kelele?
Kila mtu anapenda kulamba asali mzee
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unamaanisha nini ndugu?Umeandika kama you got grudges unto someone.Funguka usiogope.Hatujawahi kuonana uso kwa macho.Kuchekesha SIO kitu cha kulamisha yaan huwezi kumlazimisha mtu acheke hata ukijichekesha km hataki kucheka na wewe
NDIO Ila kuna KIASI kikibaki NMB wanapita nacho HII nimeshuhudia mara nyingi sana nikajiuliza au ni makato SIELEWI Pesa inaenda Wapi risti inasoma una kiasi fulani kimebakia ukienda kutoa tena unaambiwa huwezi kutoa kiasi fulani wakati unajua kabisa kuna kiasi fulani unatoa kiasi cha CHINI zaidi ndio inakubari Ila pia HAPO wanapitisha panga lingine la juu kwa juuNo ATM hakuna huo ujinga
Ndiyo the best way ya kutoa pesa
Pamenyooka kama rula
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimesema kuchekesha ni KITU KIPO TU yaan hutumii nguvu kukifanya wala hulamishi mtu kucheka Ila inakuja tu automatically kuendana na mazingira watu wanacheka Ila hauwezi ukawalazimisha watu kucheka hata ufanyajeUnamaanisha nini ndugu?Umeandika kama you got grudges unto someone.Funguka usiogope.Hatujawahi kuonana uso kwa macho.
Kwa hiyo mswaada upelekwe bungeni au umechukia?Nimesema kuchekesha ni KITU KIPO TU yaan hutumii nguvu kukifanya wala hulamishi mtu kucheka Ila inakuja tu automatically kuendana na mazingira watu wanacheka Ila hauwezi ukawalazimisha watu kucheka hata ufanyaje
MIMI katika kitu nakichunga ni Mdomo wangu na ulimi wangu sababu Mdomo wangu ukifunguka kipindi nimechukia hua natema MOTO hili suala nimeshaambiwa sana na watu kwamba bwana wewe ukichukia hua unatema MOTO vibaya sana, kwa hio SITAKI nikumwagie MOTOKwa hiyo mswaada upelekwe bungeni au umechukia?
Basi hawajakuambia vizuri.Una hasira za kike.Yaani kama umevaa kitambaa.MIMI katika kitu nakichunga ni Mdomo wangu na ulimi wangu sababu Mdomo wangu ukifunguka kipindi nimechukia hua natema MOTO hili suala nimeshaambiwa sana na watu kwamba bwana wewe ukichukia hua unatema MOTO vibaya sana, kwa hio SITAKI nikumwagie MOTO
Wewe umejichanganya mwenyewe, fuatilia vizuri kwa wakala ulikotoa hiyo pesaNawatahadharisha tuu msije kulia kama mimi
Umefirwa Mara ya Mwisho lini na huyo bwana wako aliekuoa?Basi hawajakuambia vizuri.Una hasira za kike.Yaani kama umevaa kitambaa.
Njoo inbox na details za kutoshaKama wapo nisaidieni kuwatag.
Nilikuwa na 250k kwenye account yangu jana saa 9 nikatoa 50k kwa wakala. Leo kuangalia salio nimebakiwa ba 89k.
Nimepiga simu namba yao huduma niliyopata sijalizika kabisa. Kuna haja ya kuwapa training wahudumu wenu on how to troubleshoot issue na kudili na wateja.
Nimemuelezea scenario.
Akasema nimetoa laki na nusu kwa wakala saa 9. Nikamwambia mhamala nao ukumbuka ni wa 50k. akanijibu kuna mtu atakuwa ana credentials zako ametoa. Nikamwambia Card ninayo mimi mda wote akanijibu system inaonyesha umetoa laki na nusu.
Nikwauliza wapi naweza kupata msaada zaidi akanijibu hakuna msaada zaidi ya huu utakaopata maana system inaonyesha umetoa kwa wakala. Nikawambia sawa nimetoa laki na nusu kwa nini mmenitumia sms ya kutoa 50k sioni message ya 100k nyingine.
Akaniambia ni shida ya mtandao ndio maana hujapata message. Nikamuuliza kila siku napokea message hii. Huu muhamala ambao sijaona message ndio usionekane Hauoni its something strange.
Akanikatia simu.
Mytake:
1. Ni vyema kumwambia mteja unafuatilia kuliko kumjibu as if he is careless and dumb enough to share credentials with other people even if he is.
2. Don't blindly trust the systems zinatengenezwa na wanadamu na zina bugs kama zote. And possibly mawakala wamepata workaround ya kuwaibia wateja wenu so badala ya kujibu juu juu kwamba system inaonyesha jaribu kutafuta root cause of the problem.
3. Jaribuni kuwapa training customer care wenu. On how to deal with customer and troubleshoot issues. Sio mambo ya system inaonyesha! system inaonyesha!
4. Ukiweza usitumie NMB wakala kutoa pesa zako. Nimewahi kusikia lalamiko kama hili mahali kwingine kwamba mtandao ulikuwa unasumbua wakala akajaribu maraka ya kwanza mara ya pili mara ya tatu zote zinagoma. Jamaa kuja kuangalia kesho yake hela ndefu imeenda.
5. Yule dada aliye leo customer service mfukuzeni kazi kwa haraka. Anafanya hii kazi kwa kulazimishwa.
6. Huenda wengi wanakutana na hii kadhia ila huwa hawanotice kutakana na frequency ya kutumia huduma za kibank ni ndogo.
7. Pesa yangu is ipo rudi. Bora nikakatwe na CRDB.
Wenu mtiifu katika ujenzi wa taifa,