Tetesi: NMB, CRDB, TRA, TANESCO, TPA na wadau wengine wa "Executive Category" kujitoa NHIF.

Tetesi: NMB, CRDB, TRA, TANESCO, TPA na wadau wengine wa "Executive Category" kujitoa NHIF.

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Baada ya hospitali ya Agakhan kujitoa kwenye kuwahudumia wateja "Executive" wa NHIF, mashirika makubwa ya umma yanayotumia NHIF nayo yanajiandaa kutoongeza mkataba wao na NHIF.

Kama ilivyokuwa zamani haya mashirika yalikuwa yanatumia mifuko mingine ya bima za afya kama Strategis na Assemble(Zamani AAR). Hayati Rais JPM alipoingia madarakani ndipo akafanya mpango mashirika yote ya umma yakaanza kutumia NHIF.

Haya mashirika yapo category ya "NHIF Supplimentary Benefit Scheme" ambapo michango ya wanachama ni mikubwa kulinganisha na watumishi wengine ambao wao hukatwa 3% tu ya mshahara ghafi.

My take: Serikali kama imeshindwa kuiendesha NHIF, iruhusu watumishi wawe na uhuru wa kuchagua mifuko ya bima ya afya mingine wanayoitaka. Hawa NHIF wanapata kiburi cha kufanya madudu wanayofanya kwa sababu hawana mshindani kwenye soko.

Soma Pia: Kinachoendelea NHIF ni reflection ya Incompetence za Viongozi, Wivu na Ushauri Mbovu kwa Waziri wa Afya

Kwa sasa NHIF haipo kumsaidia mteja wake, bali wamejikita katika kubana matumizi yasiyo na uhalisia wa gharama zilivyo kwa sasa. Kwa akili ya kawaida kabisa sote tunaelewa gharama za maisha hazijawahi kushuka duniani kote, zinapaa siku hadi siku, na hii inajumlisha pia gharama za matibabu, sasa inakuwaje leo NHIF wanafosi kujipangia bei ambazo haziakisi uhalisia wa vitu na huduma zinazotolewa huko mahospitalini?

Ni kwa nini NHIF walifosi kujipangia gharama zao bila kuwasikiliza wadau wake?

Mteja hawezi kulipa bima ya "Executive Level" kisha unampangia mahali pa kutibiwa! Huu mfuko kwa sasa serikali isipoingilia kati unaenda kujifia kibudu.
 
It's too sad, mimi nimeenda kusubmit form za NHIF wanachama wapya na wale wanao hitaji kuhuisha taarifa zao (mfano mtu hakuwa na mtoto kwa sasa amepata mtoto anaomba mtoro wake anufaike na bima)

Mwanachama anacheti cha mtoto wake (cheti cha kuzaliwa) chenye nembo ya serikali na Rita halafu eti anaambiwa aka verify cheti Rita ila apate huduma.

Unajiuliza Cheti kina nembo ya Jamhuri na kipo branded na Rita na kina serial namba(registration number) iliyotolewa na Rita halafu unaambiwa tena urudi Rita kwenda kuverfy cheti.

This country buana ni tabu tupu
 
It's too sad, mimi nimeenda kusubmit form za NHIF wanachama wapya na wale wanao hitaji kuhuisha taarifa zao (mfano mtu hakuwa na mtoto kwa sasa amepata mtoto anaomba mtoro wake anufaike na bima)

Mwanachama anacheti cha mtoto wake (cheti cha kuzaliwa) chenye nembo ya serikali na Rita halafu eti anaambiwa aka verify cheti Rita ila apate huduma.

Unajiuliza Cheti kina nembo ya Jamhuri na kipo branded na Rita na kina serial namba(registration number) iliyotolewa na Rita halafu unaambiwa tena urudi Rita kwenda kuverfy cheti.

This country buana ni tabu tupu
Daaahhh
 
Huu upuuzi serikali ndio wanataka, waache waajiriwa wawe huru, wajichagulie kamouni ya bima waitakayo, wataona hilo fuko lao litakavyopukutika.

Mie naamini serikali ya tanzania haipo kwa wananchi kwa kweli... Vitu vingine vipo wazi kabisa, lakini wao wameziba MASIKIO.
 
Concept ya bima ya afya kwa nchi zetu maskini iko screwed!
kwetu tunaendesha kijamaa badala ya uhalisia!.
Watoa huduma wanatumia mwanya huo kupiga, huko wakati wengine wanachangia zaidi ya milioni moja kwa mwezi mwingine anachangia elfu 50, na unataka watu hawa wapewe huduma sawa?
Kuna tofauti kati ya EQUALITY na EQUITY!
 
Wao haiwahusu na familia zao,,,hawawezi Weka jitahada na mipango Bora Kwa ajili ya manufaa ya mwananchi wa Tanzania,,Wao Wanatuita "Wananchi Wa Hali Kawaida",,,Wanyonge n.k,,,Ni Kama Hizi Shule zetu Wao huziita Santi Kayumba wakatengeneza Hadi Tangazo huko haki ya elimu,,,Wapo pale si kwa maslahi ya nchi na Wananchi kiujumla,,Ni kwa ajili yao na vizazi vyao,,,"ni akili kumkichwa" nawe uone ni wapi Utapambana mambo yaende Cha Muhimu pesa iwe kwa njia halali au la,,Hakuna wa kukuonea Huruma haswaa kwa hawa wa kwetu huku wanawaza kukukamua Tu ili wakutawale vizuri na uwatumikie wao na kizazi chao.
 
Baada ya hospitali ya Agakhan kujitoa kwenye kuwahudumia wateja "Executive" wa NHIF, mashirika makubwa ya umma yanayotumia NHIF nayo yanajiandaa kutoongeza mkataba wao na NHIF.

Kama ilivyokuwa zamani haya mashirika yalikuwa yanatumia mifuko mingine ya bima za afya kama Strategis na Assemble(Zamani AAR). Hayati Rais JPM alipoingia madarakani ndipo akafanya mpango mashirika yote ya umma yakaanza kutumia NHIF.

Haya mashirika yapo category ya "NHIF Supplimentary Benefit Scheme" ambapo michango ya wanachama ni mikubwa kulinganisha na watumishi wengine ambao wao hukatwa 3% tu ya mshahara ghafi.

My take: Serikali kama imeshindwa kuiendesha NHIF, iruhusu watumishi wawe na uhuru wa kuchagua mifuko ya bima ya afya mingine wanayoitaka. Hawa NHIF wanapata kiburi cha kufanya madudu wanayofanya kwa sababu hawana mshindani kwenye soko.

Soma Pia: Kinachoendelea NHIF ni reflection ya Incompetence za Viongozi, Wivu na Ushauri Mbovu kwa Waziri wa Afya

Kwa sasa NHIF haipo kumsaidia mteja wake, bali wamejikita katika kubana matumizi yasiyo na uhalisia wa gharama zilivyo kwa sasa. Kwa akili ya kawaida kabisa sote tunaelewa gharama za maisha hazijawahi kushuka duniani kote, zinapaa siku hadi siku, na hii inajumlisha pia gharama za matibabu, sasa inakuwaje leo NHIF wanafosi kujipangia bei ambazo haziakisi uhalisia wa vitu na huduma zinazotolewa huko mahospitalini?

Ni kwa nini NHIF walifosi kujipangia gharama zao bila kuwasikiliza wadau wake?

Mteja hawezi kulipa bima ya "Executive Level" kisha unampangia mahali pa kutibiwa! Huu mfuko kwa sasa serikali isipoingilia kati unaenda kujifia kibudu.
NHIF watumishi wanashindana kuishi maisha ya kifahari na kulipana mishahara minono
 
Twende na private kama Brittam, Strategis, na wengioneo hivii hii AAR bado ina operate Tanzania ?
Una uhusiano wowote na wamiliki wa kampuni ya usafirishaji ya Ndengaso? kama ni ndiyo hongereni Rombo miaka ile mulitufaa sana
 
Tangu lini serikali hii ya kijani ikaweza kuendesha jambo!

Ova
 
It's too sad, mimi nimeenda kusubmit form za NHIF wanachama wapya na wale wanao hitaji kuhuisha taarifa zao (mfano mtu hakuwa na mtoto kwa sasa amepata mtoto anaomba mtoro wake anufaike na bima)

Mwanachama anacheti cha mtoto wake (cheti cha kuzaliwa) chenye nembo ya serikali na Rita halafu eti anaambiwa aka verify cheti Rita ila apate huduma.

Unajiuliza Cheti kina nembo ya Jamhuri na kipo branded na Rita na kina serial namba(registration number) iliyotolewa na Rita halafu unaambiwa tena urudi Rita kwenda kuverfy cheti.

This country buana ni tabu tupu
Wanataka uka verify wapi Kwa wakili?, wakili yeye ana system ya kuhakiki taarifa Zako?.

Inatakiwa mashirika na taasisi zote za serikali zizomane,
Maana ilitakiwa hicho Cheti cha mtoto akiscan hiyo 👆 serials number,ili zimletee taarifa za Cheti husika,
AU Wao wanajua serial numbers ni urembo Tu,

Tz 🇹🇿 bado tunaishi miaka 100 iliyopita, ndio maana CCM haitaki kuondoka madarakani Kwa wizi wanaofanya kupitia mianya iliyowekwa na Nyerere
 
Back
Top Bottom